Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Rob analalamika kua chyna hajatulia na kila mara analala na wanaume tofauti. Hebu jionee hapa sijui ni kiki watajua wao.
So Rob anamwaga maubuyu tu kwenye akaunt yake. Mengine jisomeeni wenyewe.
TI kajiongelesha akapewa makavu live! Kumbe usione wenzetu wana maumbile mazuri ni wanafanya surgery. Chyn alivyojifungua tu akaomba pesa kwa Rob za kufanyiwa upasuaji ili umbo liwe lile lile na zuri zaidi huku akidanganya watu kua ni mazoezi hahaha!
----------------
Kutoka kwa mdau, Numbisa:
ROB huko Twitter hana la maana zaidi ya kulia kwamba alimpenda Chyn kumbe Chyna alikwenda kwake kulipia kisasi.
Okay ngoja niwape kistory kifupi;
Black Chyna alikuwa ni mchezaji uchi mwenye Kasino huko Marekani, akawa anampenda sana Nicky Minaj mpaka anaiga swaga zake maisha yake na mamake yalikuwa ya hali ya chini sana..
Mungu sio Athumani akapata zali la kuwa video modo. Akafanya video na Tyga inaitwa Rock City. Tyga akamtamani wakawa wapenzi. Tokea hapo maisha ya Chyna yakabadilika akawa na urafiki na watu maarufu kama akina Kim Kardashian, Amber Rose.
Sasa wakabahatika kupata mtoto mmoja na Tyga, bahati mbaya mapenzi yakaenda kombo baada ya Tyga kukutana na mdogow wake Kim anaitwa Kyie.
Kipindi hicho Kylie ana miaka 17, wakawa na mahusiano na Tyga akambwaga Chyna na Chyna alimpenda sana Tyga.
Ukawa ugomvi kwenye mitandao wanatukanana Chyna anammaind Kim kwanini anamsapoti mdogo wake kumuibia bwana wakati walikuwa friends? Ndipo Chyna akamfuata kaka wa Kim na Kyle, ndio huyo Rob sasa.
Akamseduce, Rob alikuwa lonely wanawake hawamtaki maana ni mnene pia ana kibamia, ila Chyna akajifanya kumpenda. Rob akaingia line, akampa mimba. Kumbe mwenzie alitaka kulipa kisasi cha kwanini mdogo wake kamuibia Bwanaake, hivyo nayeye (kukomoa) analala na kaka yake
Bwana unaambiwa baada ya Kyle kuachana na Tyga, Chyna nae akapunguza mapenzi kwa Rob. Akawa hataki tena mtoto wao. Ndio akawa anamtumia picha na video akiliwa uroda.
Masikini Rob anasema anajuta kwani watu walimsihi ila yeye alimpenda hivyo hivyo Chyna.
So Rob anamwaga maubuyu tu kwenye akaunt yake. Mengine jisomeeni wenyewe.
TI kajiongelesha akapewa makavu live! Kumbe usione wenzetu wana maumbile mazuri ni wanafanya surgery. Chyn alivyojifungua tu akaomba pesa kwa Rob za kufanyiwa upasuaji ili umbo liwe lile lile na zuri zaidi huku akidanganya watu kua ni mazoezi hahaha!
----------------
Kutoka kwa mdau, Numbisa:
ROB huko Twitter hana la maana zaidi ya kulia kwamba alimpenda Chyn kumbe Chyna alikwenda kwake kulipia kisasi.
Okay ngoja niwape kistory kifupi;
Black Chyna alikuwa ni mchezaji uchi mwenye Kasino huko Marekani, akawa anampenda sana Nicky Minaj mpaka anaiga swaga zake maisha yake na mamake yalikuwa ya hali ya chini sana..
Mungu sio Athumani akapata zali la kuwa video modo. Akafanya video na Tyga inaitwa Rock City. Tyga akamtamani wakawa wapenzi. Tokea hapo maisha ya Chyna yakabadilika akawa na urafiki na watu maarufu kama akina Kim Kardashian, Amber Rose.
Sasa wakabahatika kupata mtoto mmoja na Tyga, bahati mbaya mapenzi yakaenda kombo baada ya Tyga kukutana na mdogow wake Kim anaitwa Kyie.
Kipindi hicho Kylie ana miaka 17, wakawa na mahusiano na Tyga akambwaga Chyna na Chyna alimpenda sana Tyga.
Ukawa ugomvi kwenye mitandao wanatukanana Chyna anammaind Kim kwanini anamsapoti mdogo wake kumuibia bwana wakati walikuwa friends? Ndipo Chyna akamfuata kaka wa Kim na Kyle, ndio huyo Rob sasa.
Akamseduce, Rob alikuwa lonely wanawake hawamtaki maana ni mnene pia ana kibamia, ila Chyna akajifanya kumpenda. Rob akaingia line, akampa mimba. Kumbe mwenzie alitaka kulipa kisasi cha kwanini mdogo wake kamuibia Bwanaake, hivyo nayeye (kukomoa) analala na kaka yake
Bwana unaambiwa baada ya Kyle kuachana na Tyga, Chyna nae akapunguza mapenzi kwa Rob. Akawa hataki tena mtoto wao. Ndio akawa anamtumia picha na video akiliwa uroda.
Masikini Rob anasema anajuta kwani watu walimsihi ila yeye alimpenda hivyo hivyo Chyna.