Kimetulamba kwenye written interview

Nilifanyaga moja tu tulikua 200 nafasi 5,nikapita ya kwanza tukabakia 30 nikapita,tukaenda practical nikapita tukabakia 10 hapo ilikua oral kilichotokea tulikua wavulana 6 wasichana 4 tukaambiwa gender lazima itumike kilichotokea hapo sikukijua mpk Leo almost 5yrs ago sijawahi tena kuomba kule kwaurasimu ule
 
Kaziiendeleeeee hapo ujue kuna sisi n walee tulioteuliwa na Munguuu sisi n wale
Mod tupe huu wimboo kidogo
 
Daaa Daaah lab technician uliyatimbaaa hahahaa sasa si wanapima kama ulikuwaga unaelewa alaaaa 😕😉
 
Itakua upo bize sana na ndoa haujapata muda wa kusoma 😃 pole, next time pitia hadi madesa ya fomu wani.
Haisaidii hata nkipitia ya std seven...
Complain yangu ni kwamba usaili ulikuwa nje ya taaluma yangu...Sasa wananiletea lab test za viwandani na shuleni kweli...
Kumbukuka naenda kuhudumia wagonjwa...
Anyway uko wapi....?😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…