Kimetulamba kwenye written interview

Kimetulamba kwenye written interview

Ebwanaa eeh..Leo kwenye interview (DUCE) picha linaanza Hilo hall tuloingia limeshona balaah!
Yani hamna upenyo watu Kama wote almost kama 600..na hapo Kuna wengine wamezuliwa kuingia kwa kukosa vigezo..

Picha lenyewe Sasa....👇
Kwa upande WA lab technician Mtihani waliyotuletea ni WA maabara za viwandani😂 yani hamna hata swali Moja la afya.

Yani wametuletea ma volumetric analysis, ma elasticity Yale ya O-level...yani .zile practical za form 4 ndo tumeletewa hamna swali Moja la afya 🥺ule Mtihani kwa mwanafunzi wa form 3&4 alokwiva vizuri anapata yote.

Halafu Mtihani ni multiple choice na dk 40 yani Kila jibu unaliona sawa 😁 Licha ya kubanana ila Ukisema upige Chabo kwa mwenzako kimekulamba unaangalizia nini uongo au maana Kila mtu amestaajabu tu anakuna kichwa

Na wasimamizi hawakuwa na muda wa ku tu supervise yani...limetushuka balaah. Baada ya kutoka nkamuuliza rafiki yangu wa pharmacy akanambia nao ndo vile vile hawwjatolewa swali Moja la afya..

My take...hayo maswali tuloletewa ingebidi waletewe walimu wa sayansi kwa hili tumeonewa au basi wangetuchanganyia ila sio kutufanyia hivi. Kama ni lengo ni kutupunguza basii limetiki haswaaa😒
Aha kwahiyo mizigo mizito wapewe walimu duh nchi ngumu hii
 
Vile namuona Nyamwi255 akikandwa na Pepa ...😃
IMG-20240905-WA0095.jpg
 
Ebwanaa eeh..Leo kwenye interview (DUCE) picha linaanza Hilo hall tuloingia limeshona balaah!
Yani hamna upenyo watu Kama wote almost kama 600..na hapo Kuna wengine wamezuliwa kuingia kwa kukosa vigezo..

Picha lenyewe Sasa....👇
Kwa upande WA lab technician Mtihani waliyotuletea ni WA maabara za viwandani😂 yani hamna hata swali Moja la afya.

Yani wametuletea ma volumetric analysis, ma elasticity Yale ya O-level...yani .zile practical za form 4 ndo tumeletewa hamna swali Moja la afya 🥺ule Mtihani kwa mwanafunzi wa form 3&4 alokwiva vizuri anapata yote.

Halafu Mtihani ni multiple choice na dk 40 yani Kila jibu unaliona sawa 😁 Licha ya kubanana ila Ukisema upige Chabo kwa mwenzako kimekulamba unaangalizia nini uongo au maana Kila mtu amestaajabu tu anakuna kichwa

Na wasimamizi hawakuwa na muda wa ku tu supervise yani...limetushuka balaah. Baada ya kutoka nkamuuliza rafiki yangu wa pharmacy akanambia nao ndo vile vile hawwjatolewa swali Moja la afya..

My take...hayo maswali tuloletewa ingebidi waletewe walimu wa sayansi kwa hili tumeonewa au basi wangetuchanganyia ila sio kutufanyia hivi. Kama ni lengo ni kutupunguza basii limetiki haswaaa😒
Mzee hiyo kawaida lazima ukutane na kitu kizito akili ikukae sawa, then urudi ukajipange upya kwa ajili ya mashambulizi mapya wakati ujao



Mi nilipigwa na kitu kizito nusu kudata tena bora weye hapo DUCE wengine ilitukuta Dodoma na hapo ushatumia nauli na gesti, dah njia nzima akili imevurugika ukicheki kwenye mfumo tayari ushaambiwa not selected na wenzako wametoboa basi roho inaauuuma

Ila Mungu si athumani siku hao PSRS walijichanganya wakaingia kwenye mfumo, aisee nilifumua fumua viswali vyao vyote na chenchi juu matokeo yanatoka nimekuwa kinara

Kwa jinsi walivyochoma nauli zangu nenda rudi kama zote wakafanya Dodoma pawe kama nyumbani

mbwa wale Oral sikufanya ajizi nilibamiza maswali yao yote, si unajua tena wakati wa Mungu ndio wakati sahihi? Baada ya kutoka nilimshukuru Mungu nikarudisha fuvu kitaani, the rest is history

To cut the long story short; buyu la asali limenikuta bado kuna mikeka mitatu nasikilizia shortlist na wengine wameniita siku naenda kufata barua

Wangechelewa kutoa mkeka tu hata hiyo ningelipua tu, maana kanuni ni haijaisha mpaka iiishe


All the best kwako kwenye vipengele vinavyofuatia
 
Mzee hiyo kawaida lazima ukutane na kitu kizito akili ikukae sawa, then urudi ukajipange upya kwa ajili ya mashambulizi mapya wakati ujao



Mi nilipigwa na kitu kizito nusu kudata tena bora weye hapo DUCE wengine ilitukuta Dodoma na hapo ushatumia nauli na gesti, dah njia nzima akili imevurugika ukicheki kwenye mfumo tayari ushaambiwa not selected na wenzako wametoboa basi roho inaauuuma

Ila Mungu si athumani siku hao PSRS walijichanganya wakaingia kwenye mfumo, aisee nilifumua fumua viswali vyao vyote na chenchi juu matokeo yanatoka nimekuwa kinara

Kwa jinsi walivyochoma nauli zangu nenda rudi kama zote wakafanya Dodoma pawe kama nyumbani

mbwa wale Oral sikufanya ajizi nilibamiza maswali yao yote, si unajua tena wakati wa Mungu ndio wakati sahihi? Baada ya kutoka nilimshukuru Mungu nikarudisha fuvu kitaani, the rest is history

To cut the long story short; buyu la asali limenikuta bado kuna mikeka mitatu nasikilizia shortlist na wengine wameniita siku naenda kufata barua

Wangechelewa kutoa mkeka tu hata hiyo ningelipua tu, maana kanuni ni haijaisha mpaka iiishe


All the best kwako kwenye vipengele vinavyofuatia
Hongera sanaaa
 
Back
Top Bottom