Kimetulamba kwenye written interview

Kimetulamba kwenye written interview

Haisaidii hata nkipitia ya std seven...
Complain yangu ni kwamba usaili ulikuwa nje ya taaluma yangu...Sasa wananiletea lab test za viwandani na shuleni kweli...
Kumbukuka naenda kuhudumia wagonjwa...
Anyway uko wapi....?😁
Unajua maana interview? Hasa za utumishi unatakiwa ujiandae ! Hivi wangekwambia mambo muhimu kwenye kuandika barua ya kirafiki ungesemaje? Ungesema nje ya mada?
 
Woyooooo
Results are out alhamdulilah nimefanikiwa kuvuka😄..a Sasa najiandaa na oral interview trh 12
Sjui 60 nimeipataje😄😄
Nway me genius 😄😄...woyooooooo
Sasa kasome uko ndio utakutana na ya wagonjwa na kada yako …wanakanda vivilivyo! Swali la kwanza tell us about your self….
 
Ebwanaa eeh..Leo kwenye interview (DUCE) picha linaanza Hilo hall tuloingia limeshona balaah!
Yani hamna upenyo watu Kama wote almost kama 600..na hapo Kuna wengine wamezuliwa kuingia kwa kukosa vigezo..

Picha lenyewe Sasa....👇
Kwa upande WA lab technician Mtihani waliyotuletea ni WA maabara za viwandani😂 yani hamna hata swali Moja la afya.

Yani wametuletea ma volumetric analysis, ma elasticity,vernial calliper Yale ya O-level...yani .zile practical za form 4 ndo tumeletewa hamna swali Moja la afya 🥺ule Mtihani kwa mwanafunzi wa form 3&4 alokwiva vizuri anapata yote.

Halafu Mtihani ni multiple choice na dk 40 yani Kila jibu unaliona sawa 😁 Licha ya kubanana ila Ukisema upige Chabo kwa mwenzako kimekulamba unaangalizia nini uongo au maana Kila mtu amestaajabu tu anakuna kichwa

Na wasimamizi hawakuwa na muda wa ku tu supervise yani...limetushuka balaah. Baada ya kutoka nkamuuliza rafiki yangu wa pharmacy akanambia nao ndo vile vile hawwjatolewa swali Moja la afya..

My take...hayo maswali tuloletewa ingebidi waletewe walimu wa sayansi kwa hili tumeonewa au basi wangetuchanganyia ila sio kutufanyia hivi. Kama ni lengo ni kutupunguza basii limetiki haswaaa😒
Nasemaje ujasema bado Kuna watu watapiga 98 izo ndo interview za bongo nyoso aaaaaraaa
 
Narudia kuuliza hizi nafasi ni zile zilizotolewa kwenye Tangazo la transfer la DUCE ambalo deadline ilikuwa tarehe 03/06/2024?.. Je linahusu nafasi zote zilizoombwa hususani zile za " Tutorial assistant na Assistant lectures?"..
 
Back
Top Bottom