Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Hizi lawama mtazitoa sana lakini kiini cha tatizo ni umeme wa maji. Mfumo wa umeme wa maji unahitaji msururu wa miundombinu kuutoa ulipo Hadi kwenye matumizi.
Je, miundombinu yetu ni ya muda gani na ina hali gani???
Tatizo lingine la pili sambamba na la kwanza ni zile harakati za ghafla za kuongeza idadi ya watumiaji wa umeme kupitia mipango wa REA. Kama plani ilikuwepo ilikuwa ni ya kukurupuka sana kumfurahisha mfalme.
Tatu; kama kuna mgawo wa maji Dar es Salaam kisa ukame kwenye vyanzo unadhani hali itakuwaje tofauti kwenye mabwawa kuzalishia umeme.
Kama unapata umeme hapo ulipo.. Fahamu kuwa TANESCO wamefanya jitihada kubwa sana!
Tunatokaje hapa tulipo: umeme wetu wa maji uongezewe vyanzo mbadala kama gesi na jua (solar), upepo, n.k
Tusipokuwa makini Huko tuendako ipo siku tutakuwa gizani. Na itakuwa balaa!
Je, miundombinu yetu ni ya muda gani na ina hali gani???
Tatizo lingine la pili sambamba na la kwanza ni zile harakati za ghafla za kuongeza idadi ya watumiaji wa umeme kupitia mipango wa REA. Kama plani ilikuwepo ilikuwa ni ya kukurupuka sana kumfurahisha mfalme.
Tatu; kama kuna mgawo wa maji Dar es Salaam kisa ukame kwenye vyanzo unadhani hali itakuwaje tofauti kwenye mabwawa kuzalishia umeme.
Kama unapata umeme hapo ulipo.. Fahamu kuwa TANESCO wamefanya jitihada kubwa sana!
Tunatokaje hapa tulipo: umeme wetu wa maji uongezewe vyanzo mbadala kama gesi na jua (solar), upepo, n.k
Tusipokuwa makini Huko tuendako ipo siku tutakuwa gizani. Na itakuwa balaa!