Huu utapeli ndio alikuwa anaufanya Manji Yanga, kila siku utasikia yeye ndio anaidai timu.
Fukuza Wahindi wote weka Waarabu hawanaga longolongo kwenye maswala ya pesa.
Kwa MANJI sio kweli
Namna klab ilivyokuw anaiendesha MANJI huwezi fananisha na MO aliyokuwa anaiendesha SIMBA hoiya kisasa baada kutangaza kuinunua
MANJI hakuwahi kuinunua YANGA ama kutaka kuinunua na FEDHA alizokuwa anatoa alikuwa anatoa kwa MAPENZI yake pale TIMU inapokwama
Timu zamani zilikuwa zinaendeshea kwa. UFADHILI sio UDHAMINI
Mdhamini wa kwanza wa YANGA ni QUALITY GROUP lakini nae alikuwa MDHANINI lakini kwa namna Nyingine MFADHILI kwa maana katika huo UDHAMINI hakukuwa na faida yoyote isipokuwa walitaka tu kuiendesha TIMU kisasa
MANJI hakuwa na ujanjaujanja FEDHA za ufadhili alizokuwa anatoa zilionekana na watu tuliona namna gani anafanya UFADHILI
lakini jambo kubwa alikuwa anaelewana vizuri na viongozi wa klabu na wazee wa klab ingawa walikuwa wanamchimba wazeee lakini akitoa FEDHA wananyamaza na kwamwe hakuisakama KLABU kisa anatoa pesa
Manji ndo MFADHILI pekee alikuwa anatoa pesa yake kumnunua mchezaji anayemtaka na wala asilalamike timu ikifanya vibaya au kulialia kuwa anapata hasara na kuanza kupiga hesabu ya oesa alizotoa
Yanga ikifanya vizuri alikuwepo kwa moto uleule
Yanga ikifanya vibaya alikuwepo kwa moto uleule
Na hata kuondoka kwake YANGA wote tuliona 7bu ya misukosuko yake na SERIKALI
Na ndo mana mpk kesho MANJI yupo kwenye mioyo ya WANAYANGA
Hayo machache ila kuna mengi zaidi na zaidi
Hvyo kumfananisha na MO mfanyabiashara ama kwa kumuita tapeli MANJI basi wewe utakuwa hauifahamu YANGA vizuri na si mfuatiliaji wa SOKA la TANZANIA