Kimeumana, nimemuweza huyu binti

Kimeumana, nimemuweza huyu binti

1000011393.jpg
 
Ingawa wengi wanakupopoa mkuu mimi nakupongeza. Achana nao hawa simp ambao wanaishi kwa kudinya mademu kwa favor either kwa hela au waonewe huruma kwasababu ya udomo zege wao na kujua mapenzi baada ya kufika chuo. I wouldn't hesitate kufanya ulichofanya ni bora ukamtumia mzazi atakuweka hata kwenye maombi. Your money is worth every single penny haijalishi ni kiasi gani mkuu
 
Iko hivi ameniambia nimtumie nauli pamoja na yakutolea kisha aje nyumbani.

Chaajabu baada ya kutuma nauli na ya kutolea naona kaposti status whatsapp akiwa na shoga ake wanakunywa wine, kwenye hiyo status kaujumuisha na wimbo wa siendiiii nasemaa sieendiiii, katuma na yakutolea, lakini siendi.

Nikimpigia simu anasema nakuja nakuja muda mwingine mzito kupokea simu tofauti na awali. Sasa akili ni mali walisema wahenga, tayari nimerudisha muamala wangu swafi hapa najichekea tuu ha ha ha ha ha fedha yangu imepona swaaaaaafiiiiii
Hahaha
 
Wenzetu india wamefanikiwa kurusha chombo mwezini na kimetua salama,sisi huku Tanzania bado tunawaza mambo ya kingono ngono tu.
 
Iko hivi ameniambia nimtumie nauli pamoja na yakutolea kisha aje nyumbani.

Chaajabu baada ya kutuma nauli na ya kutolea naona kaposti status whatsapp akiwa na shoga ake wanakunywa wine, kwenye hiyo status kaujumuisha na wimbo wa siendiiii nasemaa sieendiiii, katuma na yakutolea, lakini siendi.

Nikimpigia simu anasema nakuja nakuja muda mwingine mzito kupokea simu tofauti na awali. Sasa akili ni mali walisema wahenga, tayari nimerudisha muamala wangu swafi hapa najichekea tuu ha ha ha ha ha fedha yangu imepona swaaaaaafiiiiii
Madogo mnazingua sana
 
Iko hivi ameniambia nimtumie nauli pamoja na yakutolea kisha aje nyumbani.

Chaajabu baada ya kutuma nauli na ya kutolea naona kaposti status whatsapp akiwa na shoga ake wanakunywa wine, kwenye hiyo status kaujumuisha na wimbo wa siendiiii nasemaa sieendiiii, katuma na yakutolea, lakini siendi.

Nikimpigia simu anasema nakuja nakuja muda mwingine mzito kupokea simu tofauti na awali. Sasa akili ni mali walisema wahenga, tayari nimerudisha muamala wangu swafi hapa najichekea tuu ha ha ha ha ha fedha yangu imepona swaaaaaafiiiiii
Ccm ni wapumbacu sana
 
Back
Top Bottom