Tajiri Sinabay
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 1,333
- 3,619
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila umaskini mbaya sana kuna bidada nilimnunulia bia 10 nikaona haeleweki ... Nikazichukua 8 zilizobaki nikabadilisha na takeaway nikaenda kumpa mke wangu.
Mzee Uwanji. Mshirikina namba 1 😆😆😆Wee mwenyeji kabisa😄,. Sanga yupi? Yule anaendesha kigari flani hivi kidunchuu au yupi😃
Mimi huko ni Home kabisa soon ntarudiWee mwenyeji kabisa😄,. Sanga yupi? Yule anaendesha kigari flani hivi kidunchuu au yupi😃
Kuna "wanaovuta"Wanafunzi si wameshafungua shulee.
Karibu sana aisee,. Sie ndio mitaa yetu hiyo mkuuMimi huko ni Home kabisa soon ntarudi
Dah😃😄, Na mwenzie Fundi Ally wa Pale kwa Mzee NjauMzee Uwanji. Mshirikina namba 1 😆😆😆
Alafu ulisoma Matogoro?Karibu sana aisee,. Sie ndio mitaa yetu hiyo mkuu
Ile bar yake pale Kadogoo bado ipo?Dah😃😄, Na mwenzie Fundi Ally wa Pale kwa Mzee Njau
Ee ndiwoo,. Weee usiniambie unawajua watu wa kule😄😂😂,. Nawafahamu woteee japo sikusoma mda mrefu nlihamaAlafu ulisoma Matogoro?
Nadhani sijui imefungwa maana hata siskii watu wakiizungumzia kama zamaniIle bar yake pale Kadogoo bado ipo?
Eeh nitakupa mkanda wake aiseee
🤣🤣🤣Ee ndiwoo,. Weee usiniambie unawajua watu wa kule😄😂😂,. Nawafahamu woteee japo sikusoma mda mrefu nlihama
Walimu unawajua nani na nani?
Wa kumtoa kafara hayupo tena 😂😂😂Nadhani sijui imefungwa maana hata siskii watu wakiizungumzia kama zamani
Haaaa mie nikajua secondary😄😄,. Shule ya msingiii Maanake hapo si utakuwa ulisoma na akina Uncle labda😂😃,.🤣🤣🤣
Primary nimemaliza 2001 wewe
Ila nimehisi tu umesoma Matogoro si unajua sie watu wa ku-teleport hatushindwi kitu
Kwanza usikute hata kameshakufa ngoja nitaulizia😄😂Wa kumtoa kafara hayupo tena 😂😂😂
Mimi Sec nimesoma Box 2 headmaster alikuwa anaitwa KusilaweHaaaa mie nikajua secondary😄😄,. Shule ya msingiii Maanake hapo si utakuwa ulisoma na akina Uncle labda😂😃,.
Em ngoja kwanza naskiaga majina kama Mwanjisi, mhule, mwanaapa,. Rwekiti , Mkamba vipi na wewe walikufundisha?,😄
Kama unawajua hao baaasi 🤭