Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena karibu na Mateka..!!Jamani wewe mbona mada mbili tofauti😂😃😃,. Ndiyo mkuu niko Songea
Mwambie mwambie😄😄
Nimesoma hapo songea boyz pia mshua amejenga mitaa ya bombambili hapoJamani wewe mbona mada mbili tofauti😂😃😃,. Ndiyo mkuu niko Songea
Ooh kumbe umesoma SOBO,. Ilikuwa mwaka gani mkuu umemaliza?Nimesoma hapo songea boyz pia mshua amejenga mitaa ya bombambili hapo
Napiga na muhuri juu Mimi kama Afisa Mtendaji wa Kata ya jamii forumNakazia😃
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tumpongeze lakini kwa kuanzisha thread.
Ee ndiwo😄Napiga na muhuri juu Mimi kama Afisa Mtendaji wa Kata ya jamii forum
Ungeingizwa cha kike.Iko hivi ameniambia nimtumie nauli pamoja na yakutolea kisha aje nyumbani.
Chaajabu baada ya kutuma nauli na ya kutolea naona kaposti status whatsapp akiwa na shoga ake wanakunywa wine, kwenye hiyo status kaujumuisha na wimbo wa siendiiii nasemaa sieendiiii, katuma na yakutolea, lakini siendi.
Nikimpigia simu anasema nakuja nakuja muda mwingine mzito kupokea simu tofauti na awali. Sasa akili ni mali walisema wahenga, tayari nimerudisha muamala wangu swafi hapa najichekea tuu ha ha ha ha ha fedha yangu imepona swaaaaaafiiiiii
Akisubiri hadi uchumi ukae sawa atawalamba lini?Tanzania 🇹🇿 ya asali na maziwa
On a serious note, mkuu bado hujajipata vyema, kanauli tu umeona status tayari ukanseli muamala ? Why usijiweke vzr kiuchumi kwanza ndio udili na hawa viumbe ? Starehe gharama
Yaani hii ni gahawa sio chai maana kitaalamu ukiunganisha hayo matukio unagundua ni uongo sana.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tumpongeze lakini kwa kuanzisha thread.
Aiseee Bombambili Mlimani kota ya mwisho hapa 🤓🤓🤓Ooh kumbe umesoma SOBO,. Ili kuwa mwaka gani mkuu umemaliza
Anaitwa mzee nani hapa bombambili usikute ndo ninayepishana nae saizi😄
NDio ndio,. Sema we ngoja nikuulize kitu kama kweli wa huku utakua unamjua mzee bado kufaAiseee Bombambili Mlimani kota ya mwisho hapa 🤓🤓🤓