Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Hatari sana alikuwa anaishi kule Sokoine uwanjani kwa chini kabisa kama unaelekea kambi ya jeshi. Alitisha sana yule MzeeKwanza usikute hata kameshakufa ngoja nitaulizia😄😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana alikuwa anaishi kule Sokoine uwanjani kwa chini kabisa kama unaelekea kambi ya jeshi. Alitisha sana yule MzeeKwanza usikute hata kameshakufa ngoja nitaulizia😄😂
Huyo hata sijawahi kumsikia masikini,. Maanake ni miaka ya 2002 2003 hahah😂😂😂😂,. Mie nadhani ndio nilikua nanyoya kama sio kuzaliwa DahMimi Sec nimesoma Box 2 headmaster alikuwa anaitwa Kusilawe
Kule juu zahanati,?.Hatari sana alikuwa anaishi kule Sokoine uwanjani kwa chini kabisa kama unaelekea kambi ya jeshi. Alitisha sana yule Mzee
😂😂😂Huyo hata sijawahi kumsikia masikini,. Maanake ni miaka ya 2002 2003 hahah😂😂😂😂,. Mie nadhani ndio nilikua nanyoya kama sio kuzaliwa Dah
Mzee Mbwilo? White House ilishachoka kitambo sanaKule juu zahanati,?.
Vipi mzee Mbwira unamfahamu yule wa White house?
Hekima za kwenye maandishi sio😃😂😂😂😂😂
Duh aiseee kumbe mtoto wa afu mbili. Lakini Mungu amekubariki sana upeo na hekima
Ni upendeleleo huo aisee, Linda sana huo utu wako wa ndaniHekima za kwenye maandishi sio😃😂😂
HIvi ni Mbwilo?,. Mie najuaga ni Mark Mbwira si yule ambaye alikuwaga Civil sijui? Au sio huyoMzee Mbwilo? White House ilishachoka kitambo sana
Thanks🤝Ni upendeleleo huo aisee, Linda sana huo utu wako wa ndani
Mwenye uwanji lodge, pale kwenye kona ya barabara ya Njombe na ile inayokwenda Matarawe hadi mwembechai kupitia parokia ya BombambiliMzee Uwanji. Mshirikina namba 1 😆😆😆
Hii kaliiiii🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila umaskini mbaya sana kuna bidada nilimnunulia bia 10 nikaona haeleweki ... Nikazichukua 8 zilizobaki nikabadilisha na takeaway nikaenda kumpa mke wangu.
Kulia just before Msamara kituoni ukitokea BombambiliHIvi ni Mbwilo?,. Mie najuaga ni Mark Mbwira si yule ambaye alikuwaga Civil sijui? Au sio huyo
Yeah ni huyo huyo buana, itakua me nimechanganya majina.. Ndio wazee wa zamani waliobaki Bomba2 hawaKulia just before Msamara kituoni ukitokea Bombambili
Kafilisika sasa hivi nasikia hapo Kadogoo pale kwa Chonapi kuna fogo la madini limejenga bar inaitwa Chantabur?Mwenye uwanji lodge, pale kwenye kona ya barabara ya Njombe na ile inayokwenda Matarawe hadi mwenyechai kupitia parokia ya Bombambili
Mzee Bado kufa unamtoa? Mzee Njau, Mzee Malya, Mzee Mhina 😂😂😂Yeah ni huyo huyo buana, itakua me nimechanganya majina.. Ndio wazee wa zamani waliobaki Bomba2 hawa
Muongo huyo ukisoma kwa umakini inaonekana ni uongoLike serious ulituma nauli?
Chief Bakhresa unayemjua anauza hadi nyanya pamoja na kua na hela,yeye huyu aliyetuma nauli ambayo biladhaka ni zaidi ya buku,unataka aidharau hiyo pesa kweli?Tanzania 🇹🇿 ya asali na maziwa
On a serious note, mkuu bado hujajipata vyema, kanauli tu umeona status tayari ukanseli muamala ? Why usijiweke vzr kiuchumi kwanza ndio udili na hawa viumbe ? Starehe gharama
Aisee wapo sema wamezeeka hatari😄😂Mzee Bado kufa unamtoa? Mzee Njau, Mzee Malya, Mzee Mhina 😂😂😂