Kimeumana, nimemuweza huyu binti

Ingawa wengi wanakupopoa mkuu mimi nakupongeza. Achana nao hawa simp ambao wanaishi kwa kudinya mademu kwa favor either kwa hela au waonewe huruma kwasababu ya udomo zege wao na kujua mapenzi baada ya kufika chuo. I wouldn't hesitate kufanya ulichofanya ni bora ukamtumia mzazi atakuweka hata kwenye maombi. Your money is worth every single penny haijalishi ni kiasi gani mkuu
 
Hahaha
 
Wenzetu india wamefanikiwa kurusha chombo mwezini na kimetua salama,sisi huku Tanzania bado tunawaza mambo ya kingono ngono tu.
 
Madogo mnazingua sana
 
Ccm ni wapumbacu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…