Kwa hiyo ukumbi mzima ule hawapati support ya waume zao[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sema maisha ya picha picha yanahitaji moyo sana
Wametisha sanaWao ni wa tofauti[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Missyrose hutaki kujifunza kwao[emoji23][emoji23] wacha mapenzi yapepeee
Vipi yule wa Serekali ya CCM aliyemuwish mchepuko birthday kwa Account ya WizaraMmesahau yule afisa habari wa chadema aliyesifia ndoa yake humu jamii forums kwa ID fake ,akisifia ni ndoa ya kuigwa ,I'd zilipounganishwa kumbe ni yeye anajifanyia promo
Yule naye balaa halafu wakasema wamehakiwaVipi yule wa Serekali ya CCM aliyemuwish mchepuko birthday kwa Account ya Wizara
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nani huyo?Na Acc.ya Wizara ipi?Vipi yule wa Serekali ya CCM aliyemuwish mchepuko birthday kwa Account ya Wizara
Resty Cosmetics/ Bura..Resty anatumia jina gani instagram?
Madhara ya mwanaume kutegemea hela ya mwanamke lazima akupelekeshe na kukufanya mjinga. Tunarudi pale pale wanaume tutafute hela,husitegemee wala kuipigia mahesabu hela ya mwanamke.
It was staged anatumia nguvu nyingi kuonyesha kuwa anapendwa kumbe hollaJana mumewe alivyoenda kumpa surprise ya mabusu pale stejini uliona [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume kwenda kitchen party gala imekaaje
UsinambieIt was staged anatumia nguvu nyingi kuonyesha kuwa inapendwa kumbe holla
Na kweli maana kama mwanaume angekuwa nazo asingekua anamfuata kila mahali utasema hana kazi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Madhara ya mwanaume kutegemea hela ya mwanamke lazima akupelekeshe na kukufanya mjinga. Tunarudi pale pale wanaume tutafute hela,husitegemee wala kuipigia mahesabu hela ya mwanamke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vipi yule wa Serekali ya CCM aliyemuwish mchepuko birthday kwa Account ya Wizara
Huyu anayejipost kupitia account ya mumewe na kujijibu hafu Ile kitchen part ya watu yeye na mumewe na mikeki wapi na wapi, hivi hivi na director Joan waligombana baada ya kupost picha za baby shower na ilikuwa Siri. Resty mchapakazi ila kutaka kufuraisha watu mitandaoni Kuna mfanya awe kituUsinambie
Chadema waongo Sana [emoji23][emoji1787]Mmesahau yule afisa habari wa chadema aliyesifia ndoa yake humu jamii forums kwa ID fake ,akisifia ni ndoa ya kuigwa ,I'd zilipounganishwa kumbe ni yeye anajifanyia promo