Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Atakua alipewa oder ya kuwa pale on tym na asiache kufanya hivyoMwanaume kwenda kitchen party gala imekaaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakua alipewa oder ya kuwa pale on tym na asiache kufanya hivyoMwanaume kwenda kitchen party gala imekaaje
Hapo na mimi wameniacha Hoi..shughuli ya watu nyie mkafanyiane surprise kweli..too much is harmfulHuyu anayejipost kupitia account ya mumewe na kujijibu hafu Ile kitchen part ya watu yeye na mumewe na mikeki wapi na wapi, hivi hivi na director Joan waligombana baada ya kupost picha za baby shower na ilikuwa Siri. Resty mchapakazi ila kutaka kufuraisha watu mitandaoni Kuna mfanya awe kitu
Majimama mengine au wadada hupenda tu huyo mtu vile anapostiwa so anakuwa easy target mkewe si ana mfanyia promo kwa kujifanya mumewe ana care so hizo show off ndio zina attract mijimama ya mjini inayopenda kulea.Wanaume wamejaa tele barabarani huko kwanini huyo wake ndio awe wa kunyakuliwa na mijimama ya mjini???
Halafu hii tabia ya wanawake kuwapost waume zao kila siku mitandaoni sijui hao wanaume wanalichukuliaje[emoji2][emoji2]
Yaani kila saa mara selfie mara sijui nini unamrusha mume, baba wa watoto wako, mwanaume mzima na ndevu zake, president wa nyumba yako mtandaoni..... mimi ningeniambiwa na huko insta nihame[emoji114][emoji114][emoji114]
Halafu na mwanaume nae anatuliaaaa apigwe picha kisha apostiwe[emoji38][emoji38]
Sijui mimi niko nyuma ya wakati[emoji126][emoji126]
Eti Tate Mkuu Asprin Bujibuji mara ya mwisho mmepostiwa lini huko insta[emoji23][emoji23]
Walifanya childish as you grow Kuna utoto unaacha hayo mambo yakifanywa na teenager na problem mtu mzima na mikeki woooi Mimi sifanyi hata mzuka huwa sinaHapo na mimi wameniacha Hoi..shughuli ya watu nyie mkafanyiane surprise kweli..too much is harmful
Ndio nani huyo huko daslamu?!Nimeikuta instagram kwenye page ya politikstz
Kwa maelezo yake anadai Resty kajiwish birthday kupitia account ya mumewe ili aonyeshe mambo ni moto,mapenzi ni bambam alafu akajisahau akakoment kutumia account hiyohiyo akisema asante mume wangu badala ya kutumia account yenye jina lake!Yani in short kajiwish mwenyewe na akajijibu mwenyewe!
View attachment 1962386
Nani huyo?!Mmesahau yule afisa habari wa chadema aliyesifia ndoa yake humu jamii forums kwa ID fake ,akisifia ni ndoa ya kuigwa ,I'd zilipounganishwa kumbe ni yeye anajifanyia promo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmesahau yule afisa habari wa chadema aliyesifia ndoa yake humu jamii forums kwa ID fake ,akisifia ni ndoa ya kuigwa ,I'd zilipounganishwa kumbe ni yeye anajifanyia promo
Duh!!!Vipi yule wa Serekali ya CCM aliyemuwish mchepuko birthday kwa Account ya Wizara
Jana mumewe alivyoenda kumpa surprise ya mabusu pale stejini uliona [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Majimama mengine au wadada hupenda tu huyo mtu vile anapostiwa so anakuwa easy target mkewe si ana mfanyia promo kwa kujifanya mumewe ana care so hizo show off ndio zina attract mijimama ya mjini inayopenda kulea.
Ila from my experience wanaume wengi hawapendi mapicha picha mtandaoni au kujipiga selfie huwa mwiko, Sasa huyo wa resty ndo analelewa atafanyaje sasa
Ilikuwa kitchen party gala ya Dina MariosIlikuwa sherehe ya nini pale?
Mr LawyerMapenzi ya mtandaoni hayo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila aibu sana
Nimeikuta instagram kwenye page ya politikstz
Kwa maelezo yake anadai Resty kajiwish birthday kupitia account ya mumewe ili aonyeshe mambo ni moto,mapenzi ni bambam alafu akajisahau akakoment kutumia account hiyohiyo akisema asante mume wangu badala ya kutumia account yenye jina lake!Yani in short kajiwish mwenyewe na akajijibu mwenyewe!
View attachment 1962386
AhaaaIlikuwa kitchen party gala ya Dina Marios