Kimeumana: Resty Bura kajitakia heri ya birthday kupitia account ya mumewe ili aonyeshe mambo ni moto

Hapo na mimi wameniacha Hoi..shughuli ya watu nyie mkafanyiane surprise kweli..too much is harmful
 
Majimama mengine au wadada hupenda tu huyo mtu vile anapostiwa so anakuwa easy target mkewe si ana mfanyia promo kwa kujifanya mumewe ana care so hizo show off ndio zina attract mijimama ya mjini inayopenda kulea.
Ila from my experience wanaume wengi hawapendi mapicha picha mtandaoni au kujipiga selfie huwa mwiko, Sasa huyo wa resty ndo analelewa atafanyaje sasa
 
Ndio nani huyo huko daslamu?!
 
Mmesahau yule afisa habari wa chadema aliyesifia ndoa yake humu jamii forums kwa ID fake ,akisifia ni ndoa ya kuigwa ,I'd zilipounganishwa kumbe ni yeye anajifanyia promo
Nani huyo?!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Hawapendi kwasababu wana wanawake wengi inawaharibia
 

Ujinga tu, hayo maneno aliyoyaandika yana Ubaya gani kwa mtu kumwandikia mkewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…