inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Wakiruhusu nalimaKilimo cha ukweli kinacholipa maradufu na kwa haraka ni kilimo cha Bangi ila lazima uisome PGO yote uelewe haki zako za msingi unapokuwa chini ya mikono salama ya serikali kabla ya kushika jembe🐒
Hii kitu ikiruhusiwa na ukawekwa mfumo rahisi wa kuipeleka kwenye masoko ya nje Ulaya na Marekani naacha kila nachofanya naingia kwenye hiki kilimo !Wakiruhusu nalima
Binafsi nilimpigia huyo jamaa wa Vanila international nikamwambia kuwa nina tani moja ya vanila nimpeleekee .Ujumbe wa DC Njombe kissagwakisakasongwa kuhusu VanillaNjombe
[emoji625]Serikali bado inafanyia kazi maswali mengi yaliyopo katika jamii kutokana na matangazo kwamba Vanilla inalipa na bei ya manunuzi ya Vanilla kwa kilo zinazotajwa kuwa ni kubwa sana. Naomba wananchi tuwe watulivu wakati Serikali Inaendelea kufuatilia jambo hii kwa Kina. Aidha kwa wale ambao tayari wamewekeza waweze kufika kwa RPC wa Mkoa wa Njombe kama ambayo Mheshimiwa RC ameagiza ili kujihakiki majina yao.
Nitoe wito kwa wananchi ambao wanakusudia kuwekeza kusubiri kwanza kuendelea na uwekezaji huu uliopo hadi pale serikali itakapojiridhisha ili kuepusha migogoro au sintofahamu ya aina yoyote inayoweza kujitokeza kwa wananchi.
[emoji625]Kazi inaendelea
Picha zinaelezea ziara ya leo nilipoongozana na Kamati ya Ulinzi na Usalama kwenda kufanya ukaguzi wa eneo maarufu lililowekezwa Vanilla wilayani Njombe.
Hahahaha a daaaa nimecheka Kama mazuri Hawa jamaa Wana vituko ACHA Kabisa nilishawahi kutana na kenge Mmoja kutoka forever living akaanza hizi swaga akijua kapata boya nikamchora weee mpaka mwisho wa mchezo halafu nikampotezea tu!Iyo Vanilla inalimwa kwa mfumo wa pea ?
View attachment 1982669
Aisee nami niliingia kwenye huo mtego mpaka nikaenda kuzikusanya tani moja kwenda kwake hana la kusema.Eti kilo milion moja yaani imekuwa dhahabu au tanzanite
Wabongo wanatapeliwa kirahisi Sana.
Chini ya ccm utapeli unazidi kutamalakiUsikubali kuwekeza popote kama fursa inayotangazwa kampuni haijasajiliwa soko la hisa
Waulize tu mumesajiliwa soko la hisa ili niwekeze hisa zangu?
Wengi wametapeliwa mara sijui wekeza kwenye kuku,vanilla sijui shamba umwaligiliaji rufiji nk usiwekeze kwenye kampuni inayojitangaza tu isiyokuwa soko la hisa .ukisikia wekeza shilingi hizi utavuna mara kumi uliza tu mumesajiliwa soko la hisa? wakisema hapana achana nao
Mkuu ni kweli kilo moja 1M lkn shida ipo kwenye kukidhi izo grade za 1M maana Vanilla sio poa kuanzia kwenye pollination inaitaji artificial pia ikipata stress tuu inapelekea flowering abortion pia kwenye swala la kuvuna na utunzaji kwa sio rahisi maana ikipungua tuu grade sio rahisi lkn ukiweka jitiada kila kitu kinawezekanaEti kilo milion moja yaani imekuwa dhahabu au tanzanite
Wabongo wanatapeliwa kirahisi Sana.
Ha ha ha tapeli huyoBinafsi nilimpigia huyo jamaa wa Vanila international nikamwambia kuwa nina tani moja ya vanila nimpeleekee .
Akanijibu kuwa kwa sasa hashughulikii na ununuzi na hawajaanza kununua ndiyo nikajua kuwa ni matapeli.
Hapana Mkuu;Hapana Mkuu...
Kila moja ni Tsh laki moja not millioni.
Yaani Dealer wa madini hataki kununua madini.Binafsi nilimpigia huyo jamaa wa Vanila international nikamwambia kuwa nina tani moja ya vanila nimpeleekee .
Akanijibu kuwa kwa sasa hashughulikii na ununuzi na hawajaanza kununua ndiyo nikajua kuwa ni matapeli.
Vanilla international 😂😂😂😂Halafu majamaa yanasema lete hela nikulimie. Kwanini wasilime wao wapate 1M kwa kilo?
Eti kilo milion moja yaani imekuwa dhahabu au tanzanite
Wabongo wanatapeliwa kirahisi Sana.
Umeonaeee?Yaani Dealer wa madini hataki kununua madini.
Halafu majamaa yanasema lete hela nikulimie. Kwanini wasilime wao wapate 1M kwa kilo?
Nilisikia siku moja redioni kuhusu hilo, kwamba eti kumbe pollination yake haitegemei Wadudu au upepo kama mimea mingine...kwamba unatakiwa Mkulima mwenyewe ufanye timing ndio uwezeshe pollination.Mkuu ni kweli kilo moja 1M lkn shida ipo kwenye kukidhi izo grade za 1M maana Vanilla sio poa kuanzia kwenye pollination inaitaji artificial pia ikipata stress tuu inapelekea flowering abortion pia kwenye swala la kuvuna na utunzaji kwa sio rahisi maana ikipungua tuu grade sio rahisi lkn ukiweka jitiada kila kitu kinawezekana
Wewe ni mgeni labda vanilla inalipa Ina pesa ndefu hata kabla ya ujio wa hamasa hii.Ujumbe wa DC Njombe kissagwakisakasongwa kuhusu VanillaNjombe
📍Serikali bado inafanyia kazi maswali mengi yaliyopo katika jamii kutokana na matangazo kwamba Vanilla inalipa na bei ya manunuzi ya Vanilla kwa kilo zinazotajwa kuwa ni kubwa sana. Naomba wananchi tuwe watulivu wakati Serikali Inaendelea kufuatilia jambo hii kwa Kina. Aidha kwa wale ambao tayari wamewekeza waweze kufika kwa RPC wa Mkoa wa Njombe kama ambayo Mheshimiwa RC ameagiza ili kujihakiki majina yao.
Nitoe wito kwa wananchi ambao wanakusudia kuwekeza kusubiri kwanza kuendelea na uwekezaji huu uliopo hadi pale serikali itakapojiridhisha ili kuepusha migogoro au sintofahamu ya aina yoyote inayoweza kujitokeza kwa wananchi.
📍Kazi inaendelea
Picha zinaelezea ziara ya leo nilipoongozana na Kamati ya Ulinzi na Usalama kwenda kufanya ukaguzi wa eneo maarufu lililowekezwa Vanilla wilayani Njombe.
Leo umeandika madini kwelikweli
Naona kila Mtu anakuja na bei yake...ila vyovyote iwavyo bado inaonesha ni zao linalolipa ukilinganisha na mazao mengi.Hapana Mkuu;
Kilo moja ni Tshs 850,000/= ?? sio Laki moja.!!!
Hii inaweza kuwa ushauri mzuri sana ...Usikubali kuwekeza popote kama fursa inayotangazwa kampuni haijasajiliwa soko la hisa
Waulize tu mumesajiliwa soko la hisa ili niwekeze hisa zangu?
Wengi wametapeliwa mara sijui wekeza kwenye kuku,vanilla sijui shamba umwaligiliaji rufiji nk usiwekeze kwenye kampuni inayojitangaza tu isiyokuwa soko la hisa .ukisikia wekeza shilingi hizi utavuna mara kumi uliza tu mumesajiliwa soko la hisa? wakisema hapana achana nao