Kimeumana Vanilla Njombe: Ni utapeli mtupu

Kimeumana Vanilla Njombe: Ni utapeli mtupu

Kama kuna kenge mmoja alikuja kunitembelea shambani kwangu nafuga kuku wa mayai akananimbia fuga na sungura ,eti sungura mmoja anauzwa mpaka 60000 na soko lake ni kubwa wakati mimi mwenyewe na utu uzima wangu sijawaai kula sungura ,nikasema inamaana sungura ana bei sawa au zaidi ya mbuzi niakona huu ni utapeli pale tu aliponiambia aniuzie vifaranga vya sungura.
Kumbe sungura nao wana vifaranga kama kuku[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Nilisikia siku moja redioni kuhusu hilo, kwamba eti kumbe pollination yake haitegemei Wadudu kama mimea mingine...kwamba unatakiwa Mkulima mwwenyewe ufanye timing ndio uwezeshe polination.

Nilibaki njia panda ila nikajiuliza ndio Mungu alivyokusudia au kuna mahali tu sisi Binaadamu tunakosea ndio maana inalazimu kufanya hivyo?.

Any way vyovyote iwavyo ni zao linalohitaji umakini mkubwa mpaka kuvuna....na isingikuwa uhitaji wake upo juu Watu wangelipotezea tu kwa kweli.
Ipo ivi Mkuu kind of flower ya vanilla ni closed kwaiyo nivigumu sana mdudu kuweza kuingia na kufanikiwa kufanya pollination kwaiyo inabidi mkulima mwenyewe afanye maana Kuna vifaa maalumu kama forceps iv ndo vinatumika lkn inabidi viwe clean ili pollen zisiwe contaminated mbaya Zaid pollination inabidi ifanyike kwanzia saa nne adi saa sita mchana baada ya apo huwezi kufanikiwa kufanya icho kitu kwa kweli ilo zao ni changamoto kwa mkulima hasa kwa Tanzania yetu
 
Mr Kuku
DECI
FOREX
VANILLA
....................
Ukiitiwa Fursa Ujue Wewe Mwenyewe Ndiyo Fursa
Ukae Chini Halafu Ufanye Downloading Pesa Haa Teh
Bwana Bure Hayupo Ndugu Zangu!!
 
Usikubali kuwekeza popote kama fursa inayotangazwa kampuni haijasajiliwa soko la hisa

Waulize tu mumesajiliwa soko la hisa ili niwekeze hisa zangu?

Wengi wametapeliwa mara sijui wekeza kwenye kuku,vanilla sijui shamba umwaligiliaji rufiji nk usiwekeze kwenye kampuni inayojitangaza tu isiyokuwa soko la hisa .ukisikia wekeza shilingi hizi utavuna mara kumi uliza tu mumesajiliwa soko la hisa? wakisema hapana achana nao
Sijui hizi akili huwa unaziachaga wapi?aisee ushaur MZURI NATUMAI WAWEKEZAJ WATAKUELEWA
 
Tanzania yetu ukisikia zinatangazwa fursa kwa nguvu kubwa basi ujuwe wewe ndio fursa yenyewe.

Trust me Wabongo mchongo wa kweli wa kupiga pesa hata rafiki yako wa karibu huenda pia asikutonye.
Umeongea ukweli wa Mungu. Wabongo tulivyo na roho mbaya ni vigumu sana kupeana dili za hela. Ukipewa dili la hela kirahisi fikiri mara mbili.
 
Back
Top Bottom