Kumbe sungura nao wana vifaranga kama kuku[emoji848][emoji848][emoji848]Kama kuna kenge mmoja alikuja kunitembelea shambani kwangu nafuga kuku wa mayai akananimbia fuga na sungura ,eti sungura mmoja anauzwa mpaka 60000 na soko lake ni kubwa wakati mimi mwenyewe na utu uzima wangu sijawaai kula sungura ,nikasema inamaana sungura ana bei sawa au zaidi ya mbuzi niakona huu ni utapeli pale tu aliponiambia aniuzie vifaranga vya sungura.
Kumbe sungura nao wana vifaranga kama kuku[emoji848][emoji848][emoji848]
Ipo ivi Mkuu kind of flower ya vanilla ni closed kwaiyo nivigumu sana mdudu kuweza kuingia na kufanikiwa kufanya pollination kwaiyo inabidi mkulima mwenyewe afanye maana Kuna vifaa maalumu kama forceps iv ndo vinatumika lkn inabidi viwe clean ili pollen zisiwe contaminated mbaya Zaid pollination inabidi ifanyike kwanzia saa nne adi saa sita mchana baada ya apo huwezi kufanikiwa kufanya icho kitu kwa kweli ilo zao ni changamoto kwa mkulima hasa kwa Tanzania yetuNilisikia siku moja redioni kuhusu hilo, kwamba eti kumbe pollination yake haitegemei Wadudu kama mimea mingine...kwamba unatakiwa Mkulima mwwenyewe ufanye timing ndio uwezeshe polination.
Nilibaki njia panda ila nikajiuliza ndio Mungu alivyokusudia au kuna mahali tu sisi Binaadamu tunakosea ndio maana inalazimu kufanya hivyo?.
Any way vyovyote iwavyo ni zao linalohitaji umakini mkubwa mpaka kuvuna....na isingikuwa uhitaji wake upo juu Watu wangelipotezea tu kwa kweli.
Ni sawa bro; ....lakini hii project ni utapeli- haipo. This is Scam. Don't buy it!Naona kila Mtu anakuja na bei yake...ila vyovyote iwavyo bado inaonesha ni zao linalolipa ukilinganisha na mazao mengi.
Hakuna mbolea Wala wadudu,maji tuHii kitu ikiruhusiwa na ukawekwa mfumo rahisi wa kuipeleka kwenye masoko ya nje Ulaya na Marekani naacha kila nachofanya naingia kwenye hiki kilimo !
Watapigwa Tu, Nami Nasema Wapigwe Tuniliona hapa kuna mtu anarudia sana kuweka tangazo la kuuza Vanilla nikajua tu na hii ni changa la macho kama lile swala la ufugaji wa kware.
Sijui hizi akili huwa unaziachaga wapi?aisee ushaur MZURI NATUMAI WAWEKEZAJ WATAKUELEWAUsikubali kuwekeza popote kama fursa inayotangazwa kampuni haijasajiliwa soko la hisa
Waulize tu mumesajiliwa soko la hisa ili niwekeze hisa zangu?
Wengi wametapeliwa mara sijui wekeza kwenye kuku,vanilla sijui shamba umwaligiliaji rufiji nk usiwekeze kwenye kampuni inayojitangaza tu isiyokuwa soko la hisa .ukisikia wekeza shilingi hizi utavuna mara kumi uliza tu mumesajiliwa soko la hisa? wakisema hapana achana nao
Mkuu, na marekan wanatumia ganja?Hii kitu ikiruhusiwa na ukawekwa mfumo rahisi wa kuipeleka kwenye masoko ya nje Ulaya na Marekani naacha kila nachofanya naingia kwenye hiki kilimo !
Eti kilo milion moja yaani imekuwa dhahabu au tanzanite
Wabongo wanatapeliwa kirahisi Sana.
Mkondya Simon, kijiji cha vannilaBinafsi nilimpigia huyo jamaa wa Vanila international nikamwambia kuwa nina tani moja ya vanila nimpeleekee .
Akanijibu kuwa kwa sasa hashughulikii na ununuzi na hawajaanza kununua ndiyo nikajua kuwa ni matapeli.
Naona kila Mtu anakuja na bei yake...ila vyovyote iwavyo bado inaonesha ni zao linalolipa ukilinganisha na mazao mengi.
Hawa watu inabidi wawajibishwe kwa kuwadanganya wananchi kiupotoshaji.Mkondya Simon, kijiji cha vannila
Kamati Ya Bunge Nayo Ilikwenda Huko NjombeNa serikali ya ccm
Hai sehemu gani?Vanilla Wilaya ya Hai Ipo nyingi na bei ni Tsh 20000/= ( Elfu ishirini tu)Na wanunuzi wanapatikana Kwa mbinde
Hai sehemu gani?
Umeongea ukweli wa Mungu. Wabongo tulivyo na roho mbaya ni vigumu sana kupeana dili za hela. Ukipewa dili la hela kirahisi fikiri mara mbili.Tanzania yetu ukisikia zinatangazwa fursa kwa nguvu kubwa basi ujuwe wewe ndio fursa yenyewe.
Trust me Wabongo mchongo wa kweli wa kupiga pesa hata rafiki yako wa karibu huenda pia asikutonye.