Hakuna ubaya wowote, mikataba ni mikataba na kama two parties involved zinakubaliana na terms hakuna ubaya; na haya mambo hayana guarantee hata mtu genuine huenda bado mambo yasiende sawa na bado ukapoteza (ingawa lengo lake halikuwa utapeli) Na hata Vannila kupanda bei hivi ni baada ya hali ya hewa kuharibu mashamba ya mlimaji mkubwa ambaye ni Madagascar hence kuleta scarcity... ISSUES KUBWA NI MBILI...
Moja kupredict bei ya kitu miaka kadhaa ijayo ni speculation na hakuna mwenye guarantee (ingawa sio dhambi na watu wamekuwa wakifanya hivyo miaka yote) TATIZO langu kubwa la kupunguza Credibility ya hawa watu, kama soko wanalo la kumwaga kuanzia leo wangeanza kununua mzigo kuanzia leo, apart from that hii ni business ndani ya business (hata kama watu wakitajirika baadae itakuwa ni sababu ya business tofauti na hii unayosema anachukua mzigo kwako 1 million na kuwauzia sijui wateja gani three years from now kwa pesa zaidi ya 1M ili na yeye apate faida (unless otherwise faida atakuwa ameshapata kwa kuwekeza pesa in three years time) Jambo ambalo sio baya kama aki-deliver ila akishindwa ku-deliver huenda akajikuta kwenye matata tofauti na kama business model yake ingekuwa straight forward na akashindwa legally asingeweza kupata tatizo lolote
Tatizo ni wao kukataa kuchukua mzigo ambao upo at the moment wala sio pesa wala mtaji (kwahio inaonekana hakuna transparency ya kutosha) bei wanayotoa na bei iliyopo nchini tofauti ni kubwa kama soko wangekuwa nalo na kutosha hata kama mtaji hawana wangeweza kwenda benki na letter ya offer ya watu kununua mzigo mkubwa wakapewa funds wakanunua kwa wakulima wakakausha na wao kuuza kwa faida maradufu