Kimeumana Vanilla Njombe: Ni utapeli mtupu

Kimeumana Vanilla Njombe: Ni utapeli mtupu

Ujumbe wa DC Njombe kissagwakisakasongwa kuhusu VanillaNjombe

šŸ“Serikali bado inafanyia kazi maswali mengi yaliyopo katika jamii kutokana na matangazo kwamba Vanilla inalipa na bei ya manunuzi ya Vanilla kwa kilo zinazotajwa kuwa ni kubwa sana. Naomba wananchi tuwe watulivu wakati Serikali Inaendelea kufuatilia jambo hii kwa Kina. Aidha kwa wale ambao tayari wamewekeza waweze kufika kwa RPC wa Mkoa wa Njombe kama ambayo Mheshimiwa RC ameagiza ili kujihakiki majina yao.

Nitoe wito kwa wananchi ambao wanakusudia kuwekeza kusubiri kwanza kuendelea na uwekezaji huu uliopo hadi pale serikali itakapojiridhisha ili kuepusha migogoro au sintofahamu ya aina yoyote inayoweza kujitokeza kwa wananchi.

šŸ“Kazi inaendelea
Picha zinaelezea ziara ya leo nilipoongozana na Kamati ya Ulinzi na Usalama kwenda kufanya ukaguzi wa eneo maarufu lililowekezwa Vanilla wilayani Njombe.
Kwa maelezo yako hapa sijaona huo utapeli, acha wivu wacha jamaa apige hela kwa akili zake.

Kama vipi na wewe kaanzishe kwenye zao la Magimbi.
 
Mimi mmoja ya watu waliobahatika kufika ofisini kwa vanilla international Ltd huku Njombe ... wenyewe wamejikita zaidi kwenye kutengeneza vanila ambayo inaendana na kiwango wanachotaka wenyewe na wana lima kiteknolojia ya kisasa zaidi hivo hawanunui kwa watu baki... Wao vanilla yao huuza nchini Comoro na bei ni 250,000 ikiwa mbichi na ikikauka bei ni 1M ....MWENYE SWALI ZAIDI ANIULIZE NITATOA UFAFANUZI
Walipohojiwa na mkuu wa mkoa hiyo bei ya milioni moja wameikataa kwamba siyo kweli, wewe ni nani unayetaka uulizwe hapa JF? Dalali? Promoter? au nani?
 
Kwenye TV huwa ni picha zile zile mwaka umekatika shida ni kamera au nini? Swali la pili hizo green house ambazo mche wa vanilla unatambalia kwenye ka-ubao kembambaa ni demo au really? Maswali mengine yanakuja!
Kama unataka kufahamu zaidi na kuona picha nyingi funga safari njoo kwenye eneo lao la kilimo linaitwa VANILLA VILLAGE kata ya YAKOBI wilaya NJOMBE , Kijiji kipo karibia na barabara kuu iendayo SONGEA , huko utakuta watu wapo serious na kilimo shambani mamia ya vijana wamechukuliwa kutoka MBOZI,MBEYA .. pia Wana namba zao za simu za Whatsapp ambazo hutoa updates kupitia status ya nini kile kinafanyika , Wana channel YouTube ambayo hutoa updates...hizo greenhouse ni really sio demo PIA WANA MAGARI MAALUM KWAAJILI YA KUPELEKA WAMILIKI WA MASHAMBA HUKO VANILLA VILLAGE...kwahiyo kama unapenda zaidi kufahamu usisite kufatilia zaidi taarifa ...UKIWEZA WAFATE OFISINI KWAO
6b6f27f3ebbf4770af3b5b906224cf59.jpg
39f02ff146194c9eb434a94cf7bb0a0b.jpg
ba47f5642cf24807afcc0bff068f2662.jpg
 
N

Ni milioni ngapi kwa kilo!? Mbona hamsemi hiyo bei au hamuijui mnabaki kuandika HEARSAY TU!? RPC alisema watu waliowekeza waende WAKAHAKIKI narudia tena alisema waende WAKAHAKIKI mashamba au vitalu vyao PERIOD! Hakusema anything negative on uwekezaji huo ambao unatokana na watu binafsi walioikubali hiyo FURSA!

Kama wewe unaona siyo fursa au ni kupigwa basi andikaaaaa tu na sisi tuliowekeza wenye all LEGAL CONTRACTS tunaendelea na kutafuta fursa nyingine kama hizo. Halafu nadhani hapa tatizo jingine ni hako kamtaji ka kuanzia 2mi/= na kuendelea! Siyo pesa ndogo wala siyo pesa nyingi ni SUALA LA MTAZAMO NA UWEZO NA UTAYARI WA KUWEKEZA NA KUTUMIA FURSA ZILIZOPO period!

Kilo moja ya Vanilla pale Hai ni Elfu ishirini na wanakukopa siyo keshi sikieni nyie waungwana
 
Walipohojiwa na mkuu wa mkoa hiyo bei ya milioni moja wameikataa kwamba siyo kweli, wewe ni nani unayetaka uulizwe hapa JF? Dalali? Promoter? au nani?
Mimi sio promoter wala dalali ...nimesema Moja kati ya watu waliobahatika kufika ofisini kwa vanilla international Ltd huku Njombe ni mimi , hivyo nimefanya mahojiano ya moja kwa moja na wahusika au watendaji wa kampuni na kupata uelewa ..HIVYO NILIPENDA KUWASAIDIA WENZANGU AMBAO HAWAJAFANIKIWA KUFIKA OFISINI AU KUPATA DETAILS ZA UHAKIKA NI MSAADA TU ..SINUFAIKI NA CHOCHOTE NI KUSAIDIANA TU ......Kuhusu bei ya vanilla kuwa 1M hiyo nimeipata ofisini sipo tayari kubishana kuhusiana na hilo nina record ya maongezi niliyofanya na watendaji wa ofisi ukitaka ntakupa pia
 
Bei ya juu niliyowahi kuisikia miaka ya 2010 ilikuwa sh. 40,000. Ni mkoa wa Kagera, mnunuzi wao mkuu alikuwa Uganda. Sasa wameibuka matapeli hawa, tena wajinga kabisa wanaumiza watu baadaye wavune na kujiondokea.

Matangazo ya aina hii hayana tofauti na DECI iliyoumiza watu. Angalia bada ya kuwaelekeza wa-TZ kwenye korosho; pwani hadi Singida, wengine wakaelekea kwenye palachichi, Haijafika mwisho sasa imekuja vanilla na matangazo ya TV. Bahati mbaya wengi wanaiamini TV na ndo maana hata Tatu mzuka na biko wanajitangaza utadhani ni watu wa maana. Wananchi wanaumizwa serikali iko kimyaaa! Mkuu wa mkoa wa Njombe anastahili sifa kwa kuliona hili.
Hata nami namuunga mkono.
 
Hiyo ofisini ni matapeli.. hakuna vanilla ambayo imeota hapo njombe.. wanajenga mabanda tuu utadhani wanafuga kuku.

Vanilla inastawi kwenye ukanda wenye joto 18c kuoanda juu kama bukoba, kil, tanga etc..


Huyo jamaa ni tapeli na amepiga sana pesa za wakubwa.

Imagine anatengeneza green house za vanilla 20x20 sqm kwa mil 18.. sasa kahesabu hayo mabanda ya greenhouse hapo Njombe yapo mangapi na zidisha kwa mil 18


Hivi karibuni alikua anasema ukilima vanilla kwenye sql 400 hapo vanilla village anakupa bojus ya ekari moja ya kitungu swaumu na ekari moja ya parachichi[emoji1787][emoji1787]

Huu ni utapeli ulio changamka[emoji28][emoji28]
Mimi sio promoter wala dalali ...nimesema Moja kati ya watu waliobahatika kufika ofisini kwa vanilla international Ltd huku Njombe ni mimi , hivyo nimefanya mahojiano ya moja kwa moja na wahusika au watendaji wa kampuni na kupata uelewa ..HIVYO NILIPENDA KUWASAIDIA WENZANGU AMBAO HAWAJAFANIKIWA KUFIKA OFISINI AU KUPATA DETAILS ZA UHAKIKA NI MSAADA TU ..SINUFAIKI NA CHOCHOTE NI KUSAIDIANA TU ......Kuhusu bei ya vanilla kuwa 1M hiyo nimeipata ofisini sipo tayari kubishana kuhusiana na hilo nina record ya maongezi niliyofanya na watendaji wa ofisi ukitaka ntakupa pia
 
Yule jamaa ana kiofisi Fulani pale chanika Kwa Zoo alikua ananisisitiza nijiunge nikawa Nampa Hadi hewa Sasa yapata mwaka umepita next week nitakua pande Hizo nitaenda kumuuliza Kwa kejeri Vipi Lile deal la mahela umevuna billion ngapi vileeeee na Mimi niingie serious ?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hawafai kabisa na watu wanaendelea kuumizwa tu
 
Hiyo ofisini ni matapeli.. hakuna vanilla ambayo imeota hapo njombe.. wanajenga mabanda tuu utadhani wanafuga kuku.

Vanilla inastawi kwenye ukanda wenye joto 18c kuoanda juu kama bukoba, kil, tanga etc..


Huyo jamaa ni tapeli na amepiga sana pesa za wakubwa.

Imagine anatengeneza green house za vanilla 20x20 sqm kwa mil 18.. sasa kahesabu hayo mabanda ya greenhouse hapo Njombe yapo mangapi na zidisha kwa mil 18


Hivi karibuni alikua anasema ukilima vanilla kwenye sql 400 hapo vanilla village anakupa bojus ya ekari moja ya kitungu swaumu na ekari moja ya parachichi[emoji1787][emoji1787]

Huu ni utapeli ulio changamka[emoji28][emoji28]
Mimi niliona nisaidie kutoa taarifa ...kuhusu masuala ya utapeli na mengine hayo hayaniusu nakuachia wewe ...uamini usiamini Mimi sio Kaz yangu
 
Anachosema RC ni kweli. Yeye na wenzake hawajui, yaani hakufuatilia hili suala tangu mwanzo na sasa labda kasituliwa na wana JF na ndio kaanza KUFUATILIA ana kuwa REACTIVE badala ya kuwa PRO ACTIVE! Anachosema wotemmesikia, anawataka wasitishe ujenzi wa vibanda vya wafanya kazi wao SIYO GREENHOUSES za Vanilla1 Msipotoshe hili suala.
Wajenge, au wasijenge kwa mtindo wa matangazo ya kilo moja kuuzwa milioni 1, huo ni utapeli na kazi nzima ni utapeli tu. Mwaka 2010, kilo moja ya vanilla mkoa wa Kagera ilikuwa TZS 40,000. Baadaye soko likaporomoka na kilimo kikafa. Mnunuzi mkuu alikuwa Uganda. TZ ilihangaika kujaribu kufuatilia ili tuwe na soko letu ikawa ni shida. sasa ameibuka huyu wa shilingi milioni 1. Huyo ataishia kukimbia na kilo za watu baada ya kuwaumiza wananchi wadhaifu wanaosubili milioni 1.
 
Ujumbe wa DC Njombe kissagwakisakasongwa kuhusu VanillaNjombe

šŸ“Serikali bado inafanyia kazi maswali mengi yaliyopo katika jamii kutokana na matangazo kwamba Vanilla inalipa na bei ya manunuzi ya Vanilla kwa kilo zinazotajwa kuwa ni kubwa sana. Naomba wananchi tuwe watulivu wakati Serikali Inaendelea kufuatilia jambo hii kwa Kina. Aidha kwa wale ambao tayari wamewekeza waweze kufika kwa RPC wa Mkoa wa Njombe kama ambayo Mheshimiwa RC ameagiza ili kujihakiki majina yao.

Nitoe wito kwa wananchi ambao wanakusudia kuwekeza kusubiri kwanza kuendelea na uwekezaji huu uliopo hadi pale serikali itakapojiridhisha ili kuepusha migogoro au sintofahamu ya aina yoyote inayoweza kujitokeza kwa wananchi.

šŸ“Kazi inaendelea
Picha zinaelezea ziara ya leo nilipoongozana na Kamati ya Ulinzi na Usalama kwenda kufanya ukaguzi wa eneo maarufu lililowekezwa Vanilla wilayani Njombe.
Con-persons in action.
 
Wrong notion! Kitu kinachofanyika hapa ni UWEKEZAJI! Mimi nina pesa yangu nampa Vanilla International kwa MKATABA WA KISHERIA yeye analima kwa niaba yangu mimi mwenye pesa. Yeye ana ARDHI, VIBARUA, UTAALAMU na ukipenda SOKO. Ni nini kisichoeleweka hapa!? Serikali ya Tanzania na Barrick wameunda TWIGA MINERALS COMPANY, Serikali ina ardhi na madini, Barrick wana soko, pesa na utaalamu. Barrick wakivuna, wanauza na kuipa Serikali chake. Serikali HAIENDI KUCHIMBA WALA KUUZA, yenyewe itahakiki tu mazao!

That is the approach ya vanilla guys, wapi hapaeleweki? Hata mikataba inasema hivyo, anything kinyume na Mkataba ni kwa Pilato na kupambana. Hivyo ndivyo maisha yalivyo, sasa weye ukikaa na kuimba DECI au MATAPELI na kuanza kulumbana humu JF na kuishia kupata "thanks na point za kukufanya uwe JF - Expert Member" basi bana!
Wamewahi siyo badaye wanaanza kulialia

Na kuwaletea usumbufu serikali na makes

Ila kama wana lengo zuri hao vanilla heri ila kama badaye ni maumivu basi

Ova
 
Kilimo cha ukweli kinacholipa maradufu na kwa haraka ni kilimo cha Bangi ila lazima uisome PGO yote uelewe haki zako za msingi unapokuwa chini ya mikono salama ya serikali kabla ya kushika jembešŸ’
Ndiyo. Cannabis Sativa inalipa. Vanilla ni utapeli tu.
 
Oooh! Ktk mazungumzo ya kawaida ya kiingereza kusema stupid au shame ni sawa? Naonesha kutoridhika kwangu. Kumbe wewe uswahili umekujaa. Lakini mbona unaandika kiingereza na wewe, ingawa kina makosa?
Correction:
Usiandike, One can understand what type of a person YOU ARE
Andika hivi One can understand what type of a personality ARE YOU

Duniani hatuna types of persons, tuna types of personalities. Anganlia tofauti ya YOU ARE na ARE YOU
[emoji1787][emoji1787][emoji419][emoji375]
 
Back
Top Bottom