Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa tu haishindi vita. Je kwavifo vya wanajeshi wa ukrain watahimili hiyo miaka mitano ama watapeleka na wanafunzi wa primary vitani? Kwa siku wanakufa zaidi ya 200.Naunga mkono hoja 100%., tathmini ya kawaida tu ambayo hatiki kuchokonoa kote huko ni kwamba Russia aliplan kwa saa 72 tu atakuwa ameuwa mzigo Ukraine lakini sasa ni mwezi 5 unaingia na baada ya kuona kwa saa 72 amefeli akasema plane yake ni miezi 6 sasa bado mwezi 1 kutimia miezi 6 na bado hakuna mwanga wowote wa mafanikio ni buttle kwa upande.
Marekani walikuja na bajeti ya miaka 5., sasa ni wazi Russia hataweza muda wote huo ku exists maana atakuwa hana bajeti plus vikwazo alivyowekewa
Vita idumu miaka hata 100 mtapelekewa moto popote mlipoPutin hajali maisha ya askari wake, ripoti zaonyesha kila saa 24 Russia hupoteza askari 250, ni jambo baya kwa Putin kama vita itaendelea muda mrefu.,
Kama wa Ukrein wa Kwampalange mkuuWarusi wa kwa Mtogole watakuja kubisha
Weka hiyo ripoti hapa tujiaminishePutin hajali maisha ya askari wake, ripoti zaonyesha kila saa 24 Russia hupoteza askari 250, ni jambo baya kwa Putin kama vita itaendelea muda mrefu.,
Kipi tena wakati wageni wanakuja capital city na kutoka salamaLakini kichapo Bado kinaendelea.poleni Ukraine
Super power GDP yake inazidiwa GDP ya California,,, ngo'mbe [emoji3]Kama Russia kailetea shida ya kiuchumi Dunia basi huyo ndiye Super power maana vikwazo mnavyomuwekea vinarudi kwenu pia.
Ng'ombeKama ni hivyo basi itakuwa wanajeshi wengi wa marekani ni mashoga, kwa bajeti hiyo haiwezekani wakashindwa na watelibani kwa muda wote waliokaa Afghanistan tena wakisaidiwa na NATO. Au labda gharama kubwa inatumika kugharamia mameri yao ya kubebea ndege ambayo kwasasa hayana tija yoyote ile
Ngo'mbe,yaani watu wenye intelligence Kama UK unawapinga bila facts,,,"Makombora ya kisasa ya Urusi muda si mrefu yataisha"kumbe kuna wakuu wa majeshi ya nchi za Ulaya ni mazuzu,kama huyu wa UK.
Jicho moja linakazia misaada anayaopata Ukraine, hilo lililosalia litumie kuangazia support anayopata Klemlin, juzi tu kaazima watupa mabomu wa Syria to mention a fewRussia [emoji635] hapigani na Ukraine [emoji1255] only bali na mataifa ya ulaya plus USA [emoji631]
Jiulize misaada ya finance and silaha anazopata Ukraine kutoka mataifa ya ulaya na USA ni sawa na asilimia ngapi ya jeshi la marekani
Taja vita ambayo UK imewahi kushinda?ukute humfaham ila upo hapa kubwabwaja maneno , mahaba ndo yanafanya waafrika tusipige hatua
Tangu lini umeiunga mkono Russia, au amekuvunja moyo kwa kuitandika ukrein kisawasawa😂😂😂russia umenivunja Moyo wangu Tayari
Kama ni Kweli basi RUSSIA ni Nyoko sana mwenye bajeti usd 70B anapigika na wa 65B. Hapo hata USA lazima ajiulize. Kumbe vita sio tu vifaa ni akili. Usikute silaha za washirika Russia anazikamata na kuwapigia waoHaaaaaa marekani kwa mwaka bajeti ya jeshi lake ni $760b wakati Russia Ni $65b marekani ameipa Ukrein zaidi ya $40b yaani 70% ya bajeti ya Russia kijeshi[emoji3]