Future generation aproximation its intrusive imoral behaviorHakuna wasiwasi, vizazi vijavyo vyenye maarifa watakua wameshapata wataalam wapya wenye weledi mkubwa watakishughulikia na kukiharibu kabla hakijatua duniani, don't worry.
Bado haujajibu swali, ni Mungu yupi? aliyekupa wewe maisha nafuu uko ofisini unabonyeza laptop huku ukinywa yoghurt pembeni ndiyo yuleyule aliyemnyima hata kikombe cha uji wenye sukari mtoto aliye na utapiamlo kule lipambikayika, na ndiye yuleyule anayeuwa watoto wachanga kwa maradhi hospitali, na ndiye yule yule aliyetuma mnyama kuwauwa watoto 42 kwa sababu tu walimcheka Eliseus kuwa na kipara? Punguza jazba kidogo ufafanue mkuu.Mpumbavu hujisemea moyoni mwake hakuna! Huku yeye akiwa amekaa kwenye kiti cha enzi akimcheka..
Shetani ni mjanja sana, kwetu binadamu hutufikirisha juu ya upumbavu na kutufanya tuhoji vitu vya kijinga. Ila wema Mungu huvuma juu yetu kama unapata mtu wa kukutia moyo juu ya upuuzi huu ingawa bado ukaidi wetu hatusikii.
Wewe siyo msomaji wa biblia.... MA Hivyo haumjui Mungu... So comments zako zatokana na uelewa wako.Hahahahaa, Mungu yupi huyo? Mungu anayeuwa watu kwa njaa kule Usomali? Ameshindwa kuzuiya machafuko duniani ataweza kuzuiya kimondo?!!!
celestial bodies (sayari na nyota) huwa vinajizungusha ktk mhimili waka na pia kuzunguka kingine, so pale vinapokutana na kusababisha msuguano(collision) hufanya sasa viende kwa kasimada imetupwa kule!
kinachodiskasiwa ni mungu duh! tz ya mwendo kasi
msaada hili swali wakuu.
Hivi kimondo kinapata wapi force ya kuweza kumove..?
hahaha, jamaa kaniacha hoiDah! Namna yako ya kufikiri imenikosha sana!!
Hakuna wasiwasi, vizazi vijavyo vyenye maarifa watakua wameshapata wataalam wapya wenye weledi mkubwa watakishughulikia na kukiharibu kabla hakijatua duniani, don't worry.
ameeenNdio tena100%.
Tazama ulimwengu ulivyo, tazama asili ya ulimwengu huu,
Ulimwengu huu ulivyo-umbika.
Bahari isiokauka. Angalia anga, angalia uzuri Wa asili ya ulimwengu. Hivi havikutokea kwa bahati mbaya
Yupo alievifanya
Uwezo Wa Mungu, akili za Mungu zapita fahamu zote.
Sikiliza, Mungu ndie chanzo cha cha vyote unavyoviona.
Lakini kumbuka kabisa [Mungu] ni MTAKATIFU.
Hakai pamoja na wenye dhambi.
Hakuna alie mwona Mungu kwa Macho Hata Adam na Hawa hawakuwai kumuona Mungu!
Bali Mungu alisema Nao walikua wanasikia sauti tu.
Mungu ni roho, nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu ktk Roho na kweli.
[emoji13] [emoji28] [emoji13] jli wajipe moyo na kupotezea lengo, hahahUkiona mada kama hii inahamia kwa mungu jua kabisa viumbe wanaogopa.
Bado haujajibu maswali yangu wewe "msomi" wa biblia.Wewe siyo msomaji wa biblia.... MA Hivyo haumjui Mungu... So comments zako zatokana na uelewa wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 374391
NASA inatuma chombo kuchunguza jiwe kubwa linaloelea angani ambalo huenda likahatarisha Sayari ya dunia mwaka 2135. Jiwe hilo limepewa jina la BENNU lina ukubwa wa kipenyo cha mita 500 yaani urefu wa viwanja vitano vya mpira, endapo litaigonga dunia mlipuko wake ni sawa na tani bilioni tatu za milipuko au sawa na mabomu 200 ya hiroshima.
Unaambiwa hadi sasa Kimondo hicho kimesogea km 160 tangu 1999. Ingawa wengi wetu wa kizazi hiki hatutakuwepo karne hiyo lakini madhara yatakayowakuta vizazi hivyo ni hatari hii ni kwa mujibu wa news duniani.
=============================
The ‘Bennu’ asteroid is bigger than the Empire State building. It is half a kilometre in diameter at its widest point and travels at speeds of 63,000 miles per hour.
The giant asteroid has been a concern to scientists since being discovered in 1999, due to the potential threat it poses to Earth.
It crosses the Earth’s orbit every six years. But Bennu is getting closer and is due to pass between the Earth and the moon in 2135 - a distance of about 290,000km away.
And the US space agency is taking the threat of an impact so seriously that it is launching a probe to collect rock samples to help find out more about the asteroid and the risk it presents to humanity.
Dante Lauretta, professor of planetary science at Arizona University, and the NASA expert in charge of the mission to Bennu, warned: “That 2135 fly-by is going to tweak Bennu’s orbit, potentially putting it on course for the Earth later that century.”
He added: “We estimate the chance of impact at about one in 2,700 between 2175 and 2196.”
The force of Bennu striking the Earth would be the equivalent of three billion tonnes of high explosive.
While the chances of the asteroid smashing into Earth are small, they remain significant and Professor Lauretta warned: “It may be destined to cause immense suffering and death."
The OSIRIS-REX spacecraft is scheduled to launch next month in a bid to map the asteroid and bring back rock samples.
It will arrive at Bennu in 2018 and will spend a year studying the asteroid, looking at its chemical composition, mineralogy and geology.
The probe will also take measurements of a force that can alter the orbit of asteroids and potentially put them on a collision course with the Earth.
Professor Lauretta explained: "The Yarkovsky effect is the force that acts on an asteroid when it absorbs sunlight and then radiates it back into space as heat. It acts like a small thruster, constantly changing its course.”
He added: "Bennu's position has shifted 160km since 1999."
Source: express.co.uk
usjidanganye bro dalili alizozitabiri Yesu nyingi zimeshatimia kv. matetemeko, njaa, magonjwa nk. so kaa mkao wa kunyolewa sasa sio huko mbeleni2135 naiman dunia itakuwa imeshafka the end kabla huo mwaka, ama lah hilo ndio itakuwa sababu ya kuwa the end ya dunia
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji106] [emoji106] nakukubar mkuumpumbavu amesema moyoni mwake hakuna Mungu,,
by bible
Ndio nn sasa tunajadili mambo ya kimondo unaleta mahubili duhNdio tena100%.
Tazama ulimwengu ulivyo, tazama asili ya ulimwengu huu,
Ulimwengu huu ulivyo-umbika.
Bahari isiokauka. Angalia anga, angalia uzuri Wa asili ya ulimwengu. Hivi havikutokea kwa bahati mbaya
Yupo alievifanya
Uwezo Wa Mungu, akili za Mungu zapita fahamu zote.
Sikiliza, Mungu ndie chanzo cha cha vyote unavyoviona.
Lakini kumbuka kabisa [Mungu] ni MTAKATIFU.
Hakai pamoja na wenye dhambi.
Hakuna alie mwona Mungu kwa Macho Hata Adam na Hawa hawakuwai kumuona Mungu!
Bali Mungu alisema Nao walikua wanasikia sauti tu.
Mungu ni roho, nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu ktk Roho na kweli.
Tayari watu watakuwa wameishahamia mars tukila bats tu hakuna shida kabisa2135 naiman dunia itakuwa imeshafka the end kabla huo mwaka, ama lah hilo ndio itakuwa sababu ya kuwa the end ya dunia
Umechoka maisha wewe!!!Acha ligonge tuone sayari ya akina nani ngumu!!
Eeeh ligongane sasa tuone usikute sayari yetu nyanya mbele za sayari za mbele huko