Kimondo (Astreroid) Au Jiwe Kubwa Hatari Kwa Dunia Yetu

Bado haujajibu swali, ni Mungu yupi? aliyekupa wewe maisha nafuu uko ofisini unabonyeza laptop huku ukinywa yoghurt pembeni ndiyo yuleyule aliyemnyima hata kikombe cha uji wenye sukari mtoto aliye na utapiamlo kule lipambikayika, na ndiye yuleyule anayeuwa watoto wachanga kwa maradhi hospitali, na ndiye yule yule aliyetuma mnyama kuwauwa watoto 42 kwa sababu tu walimcheka Eliseus kuwa na kipara? Punguza jazba kidogo ufafanue mkuu.
 
mada imetupwa kule!
kinachodiskasiwa ni mungu duh! tz ya mwendo kasi

msaada hili swali wakuu.
Hivi kimondo kinapata wapi force ya kuweza kumove..?
celestial bodies (sayari na nyota) huwa vinajizungusha ktk mhimili waka na pia kuzunguka kingine, so pale vinapokutana na kusababisha msuguano(collision) hufanya sasa viende kwa kasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
!
Hakuna wasiwasi, vizazi vijavyo vyenye maarifa watakua wameshapata wataalam wapya wenye weledi mkubwa watakishughulikia na kukiharibu kabla hakijatua duniani, don't worry.

!
!
Vijana wataichezesha dunia kidogo tu litapita hilo lijiwe
 
ameeen

Sent using Jamii Forums mobile app
 



haina shida si 2135 mbona mbali sana
 
2135 naiman dunia itakuwa imeshafka the end kabla huo mwaka, ama lah hilo ndio itakuwa sababu ya kuwa the end ya dunia
usjidanganye bro dalili alizozitabiri Yesu nyingi zimeshatimia kv. matetemeko, njaa, magonjwa nk. so kaa mkao wa kunyolewa sasa sio huko mbeleni
utakua unajitumainisha dream tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio nn sasa tunajadili mambo ya kimondo unaleta mahubili duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…