Kimondo (Astreroid) Au Jiwe Kubwa Hatari Kwa Dunia Yetu

Kimondo (Astreroid) Au Jiwe Kubwa Hatari Kwa Dunia Yetu

Sasa tunahangaika nini na hii dunia wakati jiwe likipiga dunia mlipuko wake ni mara 200 ya bomu la Hiroshima ?

Tuzae tu na kula mambo ya kujenga sijui nini hayana maana ,mhhh ila 2135 hapo vitukuu ndio watakiona cha moto

Natania tu
 
Hahahahaa, Mungu yupi huyo? Mungu anayeuwa watu kwa njaa kule Usomali? Ameshindwa kuzuiya machafuko duniani ataweza kuzuiya kimondo?!!!

Tukiweka mambo ya Mungu pembeni kwa wanao amini ,matatizo yoote uliyo ainisha hapo yameletwa/yame sababishwa na binaamu na yataondoka kupitia binadamu kama wataamua kwa dhati kutouana na kuathiri shughuli mbali mbali zinazo mfanya bianadamu aishi ...
 
Hahahahaa, Mungu yupi huyo? Mungu anayeuwa watu kwa njaa kule Usomali? Ameshindwa kuzuiya machafuko duniani ataweza kuzuiya kimondo?!!!
Rene Jr. unachotakiwa kujua kuhuu mungu ni kuwa hashindwi na kitu chochote kile,na ndio maana pamoja na wwe kumdhihaki kwa mambo hayo yaliyosababishwa na binadamu wauvu bado amekupa nafasi ya kuendelea kuunufaika na rehema zake ikiwemo uhai,nakusihi tengeua kauli yako dhidi yako dhidi ya MUNGU kwani akiamua kwa sekunde moja tu kuinyamazisha dunia yote hii anaweza,ila uzuri MUNGU wetu aliye hai si wa majaribu na si wa hasira ,na pia MUNGU hapendezwi na vifo vya watu ndio maana amehaidi kuja kutufufua ile siku ikifika na atakitupilia mbali kifo na mauti
 
Aliyetuumba sisi ndiye aliyeiumba dunia na vitu vyote had I hicho kimondo, yametabiliwa mengi mabaya kutokea na hayajatokea, dunia so sawa na sayari zingine kwani mungu ameitengeneza kukabiliana na kila aina ya tatizo ikiwemo joto,baridi na hizo asteroid na ni ngumu kugongana kwani dunia INA njia zake za mzunguko tofauti Na vitu vingine, usiamini sana wanasayansi kwani nao no binadamu kama wewe na experimenti zao sio zote zipo right, nyingine ni wrong conclusion
 
Hahahahaa, Mungu yupi huyo? Mungu anayeuwa watu kwa njaa kule Usomali? Ameshindwa kuzuiya machafuko duniani ataweza kuzuiya kimondo?!!!
Fikiri kabla ya kupost! Machafuko ya uko somalia yanasababishwa na watu ambao hawafati sheria na amri alizoziweka na pia hata kulitukana jina lake na kumtukana mwanae, hawezi kuacha hicho kimondo kwani kitaua hata watumishi wake, pia yeye ndiye aliyekiumba aweza kukizuia, just believe to survive.
 
Binafsi nitakuwa nimeshakufa hivyo hii habari hainihusu labda vitukuu vyangu yaani watoto wa wajukuu zangu.
 
mada imetupwa kule!
kinachodiskasiwa ni mungu duh! tz ya mwendo kasi

msaada hili swali wakuu.
Hivi kimondo kinapata wapi force ya kuweza kumove..?
Mkuu Movement ya Objects zote ktk space zinapata energy ya kumove kutoka na Gravity Pulls vitu vinavutana na kupelekea motion, Mfano Tunda linapata wapi energy ya kumove kutoka mtini mpaka chini? Ni Gravity ndo ina play vital role
 
Sio uongo bali haziendani na pesa wanazospend. Value for money. Pesa nyingi inatumika kugundua mambo yasiyo ya msingi sana au yasiyo na tija sana.
Mkuu Mambo ya space yana tija sana sana Leo matokeo ya vitu kama kuangalia Tv station ni inshu za satellite ambapo ni space explorer
 
Dada acha uchoyo,unaposema huwezi kubishania ni kama unatunyima sisi "madini" uliyonayo juu ya jinsi wewe unayomjua Mungu, na hapa sidhani kama mnabishana ila mi naona ni kama mnatuelimisha na sisi ambao tunafuatilia mjadala wenu. Kama anastahili kuitwa Mungu kwanini ukose hoja za kujibu ??
Mkuu nimegundua tumebadili mjadala wa mada husika hivyo basi nisubiri nikianzisha Uzi wangu unaohusiana na uwepo wa mungu nitajipanua zaidi
 
Mkuu Mambo ya space yana tija sana sana Leo matokeo ya vitu kama kuangalia Tv station ni inshu za satellite ambapo ni space explorer
Naelewa sana kuhusu space exploration na faida zake esp on communication, vacuum, etc. Point yangu ni pesa inayotumika haiendani na faida zinazopatikana. ISS pekee imeshatumia more than $100 billion USD hadi Leo ila hakuna any viable discovery iliyogundulika thus far. Hiyo ni ISS tu achana na space exploration zingine ambazo nazo zinaspend billions of dollars.

Wakati huo huo less than 5% of the ocean is explored sababu marine scientists hawana funds za kutosha na probably wangetumia hata nusu ya hela inayoenda ISS kumap na kugundua mengi kwenye sayari yetu na yenye faida kwetu directly.

Space exploration Ni upigaji hela tu sio mimi tu bali hata some prolific members in this field wameanza kuonyesha dalili za kutoridhishwa.
 
Siwezi kuwa na hofu wakati nikijua mwaka huo siwezi kuufikia nikiwa hai wala mwanangu pia hawezi kuufikia huo mwaka
 
Fikiri kabla ya kupost! Machafuko ya uko somalia yanasababishwa na watu ambao hawafati sheria na amri alizoziweka na pia hata kulitukana jina lake na kumtukana mwanae, hawezi kuacha hicho kimondo kwani kitaua hata watumishi wake, pia yeye ndiye aliyekiumba aweza kukizuia, just believe to survive.
Kwahiyo wanaokufa ni wakosefu, na nyie mnaosurvive ni watenda mema?
 
Rene Jr. unachotakiwa kujua kuhuu mungu ni kuwa hashindwi na kitu chochote kile,na ndio maana pamoja na wwe kumdhihaki kwa mambo hayo yaliyosababishwa na binadamu wauvu bado amekupa nafasi ya kuendelea kuunufaika na rehema zake ikiwemo uhai,nakusihi tengeua kauli yako dhidi yako dhidi ya MUNGU kwani akiamua kwa sekunde moja tu kuinyamazisha dunia yote hii anaweza,ila uzuri MUNGU wetu aliye hai si wa majaribu na si wa hasira ,na pia MUNGU hapendezwi na vifo vya watu ndio maana amehaidi kuja kutufufua ile siku ikifika na atakitupilia mbali kifo na mauti
Hahahaa, hana huo uwezo, hayupo, ni kivuli tu cha waoga wa fikra kuficha nafsi zao, yaani ni kama mbuni afichavyo kichwa chake chini ya mchanga ilhali kiwiliwili chote kiko nje! Mungu hapendezwi na vifo vya watu, kwanini asivizuie?...kwa sababu hana huo ubavu, ni hewa, hayupo, ni invention ya kijima, wewe unayeabudu mtu unayeamini alipigwa na kuuwawa msalabani eti akuokoe, unaamini kabisa yuko hai wakati huo unaamini alishakufa hauna tofauti na anayeabudu mzimu wa babu yake. Kifupi ni kwamba, unaadu mzimu wa babu wa wenzako huku ukibeza wanaoamini mzimu wa babu yao, akili zenu wote mmeshikiwa na mizimu, ni akili za kijima. Mfano mdogo ni kwamba, kuna dini 4000, wewe unaamini miungu 3999 si ya kweli bali 1, na wenzako wanaamini wa kwao tu ndiyo wa kweli, mimi najua kwamba yote 4000 ni miungu hewa, ni vitu vya kusadikika.
 
NASA- Never A Specific Answer. Habari za NASA sio za kuchukulia seriously wapo kupiga hela tu, hamna discovery ya maana waliyofanya kulinganisha na pesa wanazospend

Hujui sayansi ni bora ukae kimya. Mambo ambayo NASA wamecontribute kwenye scientific commnity ni mengi mno, research zao ndio sababu leo hii upo unatumia JF, LEDs taa hizi ambazo zinatumia umeme mdogo, hadi LED monitors zimetokana na research za NASA, Anti-ici systems zinazokinga watu ndani ya ndege wasigande na baridi, nguo zinazotumiwa na firefighters e.t.c wamecontribute ugunduzi na uboreshaji wa vitu vingi sana vilivyobadilisha maisha yetu.

Binadamu mpunguze kukaa mnasikiliza conspiracy theories kila siku, unadhani nchi kama marekani kutoa pesa nyingi kila mwaka kusponsor NASA wao ni wajinga? Sikulaumu, nalaumu facebook imewaunganisha na watu kama akina kardashian ndio mnawafata sana mnaacha kufollow watu wa maana.
 
Hahahaa, hana huo uwezo, hayupo, ni kivuli tu cha waoga wa fikra kuficha nafsi zao, yaani ni kama mbuni afichavyo kichwa chake chini ya mchanga ilhali kiwiliwili chote kiko nje! Mungu hapendezwi na vifo vya watu, kwanini asivizuie?...kwa sababu hana huo ubavu, ni hewa, hayupo, ni invention ya kijima, wewe unayeabudu mtu unayeamini alipigwa na kuuwawa msalabani eti akuokoe, unaamini kabisa yuko hai wakati huo unaamini alishakufa hauna tofauti na anayeabudu mzimu wa babu yake. Kifupi ni kwamba, unaadu mzimu wa babu wa wenzako huku ukibeza wanaoamini mzimu wa babu yao, akili zenu wote mmeshikiwa na mizimu, ni akili za kijima. Mfano mdogo ni kwamba, kuna dini 4000, wewe unaamini miungu 3999 si ya kweli bali 1, na wenzako wanaamini wa kwao tu ndiyo wa kweli, mimi najua kwamba yote 4000 ni miungu hewa, ni vitu vya kusadikika.
duh mkuu ,yawezekana umaimnai inayokusukuma kusema hayo yote,lakini landa tuanzie hapa unadhani chimbuko hasa la mwanadamu ni nini kama si Mungu mwenyewe? na kumbuka sie washwahili tunamsemo unaosema heri uamini kwamba yupo ili ukikutana naye iwe sawa,kuliko kuhamini hayupo then siku ya siku unakutana naye sijui utasema nini?
 
Hujui sayansi ni bora ukae kimya. Mambo ambayo NASA wamecontribute kwenye scientific commnity ni mengi mno, research zao ndio sababu leo hii upo unatumia JF, LEDs taa hizi ambazo zinatumia umeme mdogo, hadi LED monitors zimetokana na research za NASA, Anti-ici systems zinazokinga watu ndani ya ndege wasigande na baridi, nguo zinazotumiwa na firefighters e.t.c wamecontribute ugunduzi na uboreshaji wa vitu vingi sana vilivyobadilisha maisha yetu.

Binadamu mpunguze kukaa mnasikiliza conspiracy theories kila siku, unadhani nchi kama marekani kutoa pesa nyingi kila mwaka kusponsor NASA wao ni wajinga? Sikulaumu, nalaumu facebook imewaunganisha na watu kama akina kardashian ndio mnawafata sana mnaacha kufollow watu wa maana.
Dada nilikua nimeshatetea point yangu ila sababu u mvivu kusoma nitaandika tena.

Naelewa sana kuhusu space exploration na mchango wake esp on communication, vacuum, etc. Naweza kutaja mambo zaidi ya 20 yaliyochangiwa na hizi tafiti ila Point hapa ni pesa inayotumika haiendani na faida zinazopatikana (value for money). ISS pekee imeshatumia more than $100 billion USD hadi Leo toka 1998 ila hakuna any viable discovery iliyogundulika thus far. Hiyo ni ISS tu achana na space exploration zingine ambazo nazo zinaspend billions of dollars.

Wakati huo huo less than 5% of the ocean is explored sababu marine scientists hawana funds za kutosha na probably wangetumia hata nusu ya hela inayoenda ISS kumap na kugundua mengi kwenye sayari yetu na yenye faida kwetu directly.

Ukiachilia mbali zile experiments zinazohitaji zero-gravitational force au kuwa carried in space tu, discoveries nyingi za NASA zingeweza kufanyika hapa hapa chini for less money. Huhitaji kuwa space ili kudevelop LED au vacuum nk.

Kwa kutambua hilo NASA imeona ni vyema space exploration ziwe privatized na kufanyika for profit, hapo ndipo Elon Musk anaingia na SpaceX. Kama mfuatiliaji utakuwa umeona SpaceX inavyohusika zaidi sasa na ndiyo future of space exploration.

Dada kwa kurudia point hapa ni value for money. Discoveries haziendani na pesa inayotumika.

Some prolific members in this field tayari wameanza kuonyesha dalili za kutoridhishwa. Ingia online jisomee Dada usiwe mvivu kama kawaida ya watanganyika.
 
Dada nilikua nimeshatetea point yangu ila sababu u mvivu kusoma nitaandika tena.

Naelewa sana kuhusu space exploration na mchango wake esp on communication, vacuum, etc. Naweza kutaja mambo zaidi ya 20 yaliyochangiwa na hizi tafiti ila Point hapa ni pesa inayotumika haiendani na faida zinazopatikana (value for money). ISS pekee imeshatumia more than $100 billion USD hadi Leo toka 1998 ila hakuna any viable discovery iliyogundulika thus far. Hiyo ni ISS tu achana na space exploration zingine ambazo nazo zinaspend billions of dollars.

Wakati huo huo less than 5% of the ocean is explored sababu marine scientists hawana funds za kutosha na probably wangetumia hata nusu ya hela inayoenda ISS kumap na kugundua mengi kwenye sayari yetu na yenye faida kwetu directly.

Ukiachilia mbali zile experiments zinazohitaji zero-gravitational force au kuwa carried in space tu, discoveries nyingi za NASA zingeweza kufanyika hapa hapa chini for less money. Huhitaji kuwa space ili kudevelop LED au vacuum nk.

Kwa kutambua hilo NASA imeona ni vyema space exploration ziwe privatized na kufanyika for profit, hapo ndipo Elon Musk anaingia na SpaceX. Kama mfuatiliaji utakuwa umeona SpaceX inavyohusika zaidi sasa na ndiyo future of space exploration.

Dada kwa kurudia point hapa ni value for money. Discoveries haziendani na pesa inayotumika.

Some prolific members in this field tayari wameanza kuonyesha dalili za kutoridhishwa. Ingia online jisomee Dada usiwe mvivu kama kawaida ya watanganyika.

Mimi sio dada, ni kaka, am surprised umenipa vipi gender bila mimi kujitambulisha, au neno Graph hujui maana yake?
We unadhani faida zilizopatikana kutokana na discovery zao ni less than hiyo $100B?? Think again.
These people are not stupid kua budget kubwa, Industry nzima ya space ni ngumu mno, its costful but also very imporant, ni a necessity ambayo we can't get rid of, kwa nini waweke pesa nyingi kwenye marine wakati ni less expensive compared to space?

US ina budget ya almost $4Tillion kila mwaka, inayoenda nasa ni less than $20B hiyo ni less than 0.5% ya budget, its definitely worth it. Kama una idea na jinsi hawa jamaa wanavyofanya dunia systems zina run smooth sioni sababu yako kukaa unapiga kelele, hata communications peke yake ni worth more than that $20B per year, unadhani kila kitu kitajiendesha smooth tu kama hawa jamaa wataacha kufuatilia? Naomba wewe ndio uingie online ujisomee usiwe mvivu, usisome article za kwenye site za conspiracy theories, soma real research.
 
Back
Top Bottom