Kimondo (Astreroid) Au Jiwe Kubwa Hatari Kwa Dunia Yetu

Kimondo (Astreroid) Au Jiwe Kubwa Hatari Kwa Dunia Yetu

Sina mungu ndugu. Kama haujuwi, it already happened and wiped out a great deal of life on earth. Nadhani mungu wako alikuwa hajazaliwa, maana kwa mujibu wenu umri wa dunia hauzidi miaka elfu10!
Oooh basi sawa
 
2135 naiman dunia itakuwa imeshafka the end kabla huo mwaka, ama lah hilo ndio itakuwa sababu ya kuwa the end ya dunia
 
Oooh basi sawa
Dunia imepitia makubwa mengi, kuzidi hilo lakini bado inadunda. Hilo jiwe ni dogo sana kuweza kuifuta dunia, litauwa viumbe wengi tu lakini haliwezi kuisambaratisha dunia wala kuitoa kwenye mhimili wake! Na its not a guarantee kwamba jiwe hilo litapiga, ila wamekokotoa kuwa litapita katikati ya dunia na mwezi, sehem yenye gravity kubwa itayosababisha litoke nje ya orbit yake na huenda likailenga dunia.
 
******** amesema moyoni mwake hakuna Mungu,,
by bible
Your source is flawed. Mtu mwenye akili timamu hawezi kuamini hadithi ziloandikwa na watu walioamini kuwa dunia ina umbo bapa. Ukitaka kuwa na fikra huru toka nje ya boksi, ukijifungia kwenye biblia ukataka rejea yako iwe mistari ya biblia pekee utakuwa mpompompo.
 
Acha ligonge tuone sayari ya akina nani ngumu!!
Eeeh ligongane sasa tuone usikute sayari yetu nyanya mbele za sayari za mbele huko
hakitakukuta mheshimiwa by then kitakutana na huo mskeleton wako tu !
 
Acha ligonge tuone sayari ya akina nani ngumu!!
Eeeh ligongane sasa tuone usikute sayari yetu nyanya mbele za sayari za mbele huko
hakitakukuta mheshimiwa by then kitakutana na huo mskeleton wako tu !
 
Dunia imepitia makubwa mengi, kuzidi hilo lakini bado inadunda. Hilo jiwe ni dogo sana kuweza kuifuta dunia, litauwa viumbe wengi tu lakini haliwezi kuisambaratisha dunia wala kuitoa kwenye mhimili wake! Na its not a guarantee kwamba jiwe hilo litapiga, ila wamekokotoa kuwa litapita katikati ya dunia na mwezi, sehem yenye gravity kubwa itayosababisha litoke nje ya orbit yake na huenda likailenga dunia.
Sina shaka na maelezo yako nayakubali tumetofautiana kwenye issue ya uwepo wa Mungu na jinsi anavyosave mambo mengi katika dunia hii tu na nisingependa kuendelea kuyabishania..nimekusoma
 
Ndio tena100%.

Tazama ulimwengu ulivyo, tazama asili ya ulimwengu huu,
Ulimwengu huu ulivyo-umbika.
Bahari isiokauka. Angalia anga, angalia uzuri Wa asili ya ulimwengu. Hivi havikutokea kwa bahati mbaya
Yupo alievifanya

Uwezo Wa Mungu, akili za Mungu zapita fahamu zote.

Sikiliza, Mungu ndie chanzo cha cha vyote unavyoviona.

Lakini kumbuka kabisa [Mungu] ni MTAKATIFU.
Hakai pamoja na wenye dhambi.
Hakuna alie mwona Mungu kwa Macho Hata Adam na Hawa hawakuwai kumuona Mungu!
Bali Mungu alisema Nao walikua wanasikia sauti tu.
Mungu ni roho, nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu ktk Roho na kweli.
Kuzembesha akili nao ni ugonjwa, badala ya kutumia akili kufikiri na kutafakari kutafuta shina wewe unakuwa mvivu na kuishia kusema mungu! Binadamu wote wangeishi hivyo kusingepatikana hata dawa ya malaria, hakuna mtu angeanza kuchunguza mpaka kumgundua mdudu wa malaria, kugundua analetwa na nini wala kugundua dawa inayowezwa kuingizwa kwenye damu na kuuwa mdudu huyo tu bila kuathiri chembe za uhai!
 
NASA always don't take things for granted. So, plus other factors the chances of collision is 0.03% What a number! Now that is a difference between Science and Engineering.
 
Ndio tena100%.

Tazama ulimwengu ulivyo, tazama asili ya ulimwengu huu,
Ulimwengu huu ulivyo-umbika.
Bahari isiokauka. Angalia anga, angalia uzuri Wa asili ya ulimwengu. Hivi havikutokea kwa bahati mbaya
Yupo alievifanya

Uwezo Wa Mungu, akili za Mungu zapita fahamu zote.

Sikiliza, Mungu ndie chanzo cha cha vyote unavyoviona.

Lakini kumbuka kabisa [Mungu] ni MTAKATIFU.
Hakai pamoja na wenye dhambi.
Hakuna alie mwona Mungu kwa Macho Hata Adam na Hawa hawakuwai kumuona Mungu!
Bali Mungu alisema Nao walikua wanasikia sauti tu.
Mungu ni roho, nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu ktk Roho na kweli.
Huu sio ushahidi bali umeleta hekaya!

[emoji116] [emoji116] [emoji116]
Nanukuu maelezo yako
[/QUOTE]<br />Nazungumzia Mungu alieziumba mbingu na nchi, alizigawanyisha Bahari na nchi kavu, <br />aliemwumba mwanadam kwa mfano wake,<br /><br />Mim namwita "Mungu mwenye nguvu zote" <br />Mungu asiefananishwa na chochote.<br /><br />Anaitwa Mungu wa miungu.<br /> Mungu mwenye Khaki.<br />Mungu alieweka pumzi ya uhai kwako na kwangu.<br /><br />Anaitwa (Jehovah) ndie ninaemwabudu. <br />Hao wengine siwajui

Kijana unaonekana mfuasi wa usichokijua.
Hapo unasema huyo mungu kawaumba kwa mfano wenu! Hapohapo tena unajipinga kwa kusema hafananishwi na chochote.
Hivi unaakili kweli au napanga hoja na limbukeni?

Alafu ninapokuomba uthibitisho unaanza kuniimbia kwaya huwaga mimi sipendi. Kwani uwepo wa ulimwengu na vyote viujazavyo kunathibitisha vipi uwepo wa huyo mungu?

Nashindwa kukuuliza maswali maana naona uwezo wako wa kufikiri ni mdogo.
 
Kuzembesha akili nao ni ugonjwa, badala ya kutumia akili kufikiri na kutafakari kutafuta shina wewe unakuwa mvivu na kuishia kusema mungu! Binadamu wote wangeishi hivyo kusingepatikana hata dawa ya malaria, hakuna mtu angeanza kuchunguza mpaka kumgundua mdudu wa malaria, kugundua analetwa na nini wala kugundua dawa inayowezwa kuingizwa kwenye damu na kuuwa mdudu huyo tu bila kuathiri chembe za uhai!
Mkuu watu kama hawa ndio changamoto kubwa tuliyobaki nayo kwa sasa.
Hawafikiri hata mambo madogo tu
 
Mada imehamia kwa Mungu sasa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Embu rudini kwenye mada bana
 
mtu akiwa na elimu aliyo pewa na lucifer , ni bishiiii paka dakika ya mwisho dah!
 
Sina shaka na maelezo yako nayakubali tumetofautiana kwenye issue ya uwepo wa Mungu na jinsi anavyosave mambo mengi katika dunia hii tu na nisingependa kuendelea kuyabishania..nimekusoma
Dada acha uchoyo,unaposema huwezi kubishania ni kama unatunyima sisi "madini" uliyonayo juu ya jinsi wewe unayomjua Mungu, na hapa sidhani kama mnabishana ila mi naona ni kama mnatuelimisha na sisi ambao tunafuatilia mjadala wenu. Kama anastahili kuitwa Mungu kwanini ukose hoja za kujibu ??
 
Back
Top Bottom