Kimondo (Astreroid) Au Jiwe Kubwa Hatari Kwa Dunia Yetu

Kimondo (Astreroid) Au Jiwe Kubwa Hatari Kwa Dunia Yetu

Mungu hata ruhusu iwe hivo maana bado kuna watu hawajafahamu neno la Mungu
 
NASA- Never A Specific Answer. Habari za NASA sio za kuchukulia seriously wapo kupiga hela tu, hamna discovery ya maana waliyofanya kulinganisha na pesa wanazospend
 
Wapi nimesema tunamuomba ibilisi? Kwanza maelezo yangu nimeyatoa kwa upande wangu binafsi!
Lakini kwa jinsi ulivyo na ufinyu wa fikira tayari umesema kwamba "tunamuomba lucifer".

Wapi nimesema tunamuomba lucifer? Na tunamuomba lucifer mimi na nani?
Wewe na wafuasi wenzio wa lucifer..btw hiyo sio mada iliyoletwa hapa usianzishe ligi fungua uzi wako wa kumkosoa Mungu nitakufata huko
 
Yawezekana Mungu wangu mimi sio huyo mungu wako unaemzungumzia.what I know my almighty God hataruhusu hicho kimondo kiiangamize dunia
Sina mungu ndugu. Kama haujuwi, it already happened and wiped out a great deal of life on earth. Nadhani mungu wako alikuwa hajazaliwa, maana kwa mujibu wenu umri wa dunia hauzidi miaka elfu10!
 
mada imetupwa kule!
kinachodiskasiwa ni mungu duh! tz ya mwendo kasi

msaada hili swali wakuu.
Hivi kimondo kinapata wapi force ya kuweza kumove..?
 
Wapi nimesema tunamuomba ibilisi? Kwanza maelezo yangu nimeyatoa kwa upande wangu binafsi!
Lakini kwa jinsi ulivyo na ufinyu wa fikira tayari umesema kwamba "tunamuomba lucifer".

Wapi nimesema tunamuomba lucifer? Na tunamuomba lucifer mimi na nani?
Naomba nikuulize, je wewe huamini uwepo Wa Mungu?
 
Duh! Kama Hiroshima ilipigwa kwa bomu moja la nuclear, vipi hili la BENNU, tunaloambiwa ni sawa na mabomu 200 ya nuclear!!? Au ndio kiama kimekaribia? Naombeni mawazo yenu wadau.
 
NASA- Never A Specific Answer. Habari za NASA sio za kuchukulia seriously wapo kupiga hela tu, hamna discovery ya maana waliyofanya kulinganisha na pesa wanazospend

Kwa nini? Kwani kuna uchunguzi waliowahi kuufanya ukawa wa uongo?
 
Kwa nini? Kwani kuna uchunguzi waliowahi kuufanya ukawa wa uongo?
Sio uongo bali haziendani na pesa wanazospend. Value for money. Pesa nyingi inatumika kugundua mambo yasiyo ya msingi sana au yasiyo na tija sana.
 
Naomba nikuulize, je wewe huamini uwepo Wa Mungu?
Mungu yupi unaemzungumzia? Mungu ninaejua yupo na ambae nilishamwona ni mungu wa wahindu.
Miungu mingine yote inayosemwa ipo imebaki kuwa hadithi zisizo na maana
 
Mungu yupi unaemzungumzia? Mungu ninaejua yupo na ambae nilishamwona ni mungu wa wahindu.
Miungu mingine yote inayosemwa ipo imebaki kuwa hadithi zisizo na maana
Nazungumzia Mungu alieziumba mbingu na nchi, alizigawanyisha Bahari na nchi kavu,
aliemwumba mwanadam kwa mfano wake,

Mim namwita "Mungu mwenye nguvu zote"
Mungu asiefananishwa na chochote.

Anaitwa Mungu wa miungu.
Mungu mwenye Khaki.
Mungu alieweka pumzi ya uhai kwako na kwangu.

Anaitwa (Jehovah) ndie ninaemwabudu.
Hao wengine siwajui
 
Nazungumzia Mungu alieziumba mbingu na nchi, alizigawanyisha Bahari na nchi kavu,
aliemwumba mwanadam kwa mfano wake,

Mim namwita "Mungu mwenye nguvu zote"
Mungu asiefananishwa na chochote.

Anaitwa Mungu wa miungu.
Mungu mwenye Khaki.
Mungu alieweka pumzi ya uhai kwako na kwangu.

Anaitwa (Jehovah) ndie ninaemwabudu.
Hao wengine siwajui
Haya yote waweza kuwa na ushahidi nayo?
 
Ndio tena100%.

Tazama ulimwengu ulivyo, tazama asili ya ulimwengu huu,
Ulimwengu huu ulivyo-umbika.
Bahari isiokauka. Angalia anga, angalia uzuri Wa asili ya ulimwengu. Hivi havikutokea kwa bahati mbaya
Yupo alievifanya

Uwezo Wa Mungu, akili za Mungu zapita fahamu zote.

Sikiliza, Mungu ndie chanzo cha cha vyote unavyoviona.

Lakini kumbuka kabisa [Mungu] ni MTAKATIFU.
Hakai pamoja na wenye dhambi.
Hakuna alie mwona Mungu kwa Macho Hata Adam na Hawa hawakuwai kumuona Mungu!
Bali Mungu alisema Nao walikua wanasikia sauti tu.
Mungu ni roho, nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu ktk Roho na kweli.
 
Back
Top Bottom