Kimondo (Astreroid) Au Jiwe Kubwa Hatari Kwa Dunia Yetu

Kimondo (Astreroid) Au Jiwe Kubwa Hatari Kwa Dunia Yetu

duh mkuu ,yawezekana umaimnai inayokusukuma kusema hayo yote,lakini landa tuanzie hapa unadhani chimbuko hasa la mwanadamu ni nini kama si Mungu mwenyewe? na kumbuka sie washwahili tunamsemo unaosema heri uamini kwamba yupo ili ukikutana naye iwe sawa,kuliko kuhamini hayupo then siku ya siku unakutana naye sijui utasema nini?

Heri yako umejisemea ukweli tu, UOGA! Imani ni kuamini bila ushahidi wala kuhoji. Mimi si muoga, siku nikikutana naye kama kweli yupo yeye ndiye atakuwa na shughuli ya kujibu maswali yangu. Meanwhile, silazi ubongo wangu kwenye mambo ya kijima.
 
Heri yako umejisemea ukweli tu, UOGA! Imani ni kuamini bila ushahidi wala kuhoji. Mimi si muoga, siku nikikutana naye kama kweli yupo yeye ndiye atakuwa na shughuli ya kujibu maswali yangu. Meanwhile, silazi ubongo wangu kwenye mambo ya kijima.
Wapo waliokwisha kumuona, na kuona uweza wake, nenda ukawaulize watu wa Misri alichowafanyia walipowang'ang'ania waisraeli, hata wewe unamuona sema kwa kuwa huna hekima hukumtambua, ivi hao wachungaji wote waliopo duniani unadhani ni wajinga, wana akili na hekima zaidi yako, angalia vizuri jinsi familia yako ilivyo labda kuna mwenye laana, au ni matajiri sana, au ni masikini sana, na vitu hivyo humfanya mwanadamu kumdhihaki mungu wake, hivi unadhani MTU kaumbwa na nani? Je umetahiri? ni nani aliyetoa amri ya kutahiri magovi? Kwanini kwenye history kuna neno B.C (before Christ)? Mini maana ya neno Christ? Nini kinasababisha MTU akiombewa anapona? Nani mwanasayansi wa kwanza? Satellite ya kwanza ilirushwa angani kwa lengo gani? Ukitafuta majibu ya hayo maswali utajua Mungu yupo.

Sent from my Y3 using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo wanaokufa ni wakosefu, na nyie mnaosurvive ni watenda mema?
Tafuta hekima ya kuelewa tafsiri ya kilichoandikwa. Maana unaonekana unasomaga biblia kwa mafungu si kwa mfululizo. Siwezi kujibu maswali kwani kila kitu kimeandikwa kutokea duniani ila sijaona kimondo kikubwa kama hicho kuogonga dunia. Kila mwanadamu atakufa kufufuka haimaanishi mtenda dhambi au la, machafuko husababishwa na watu wabaya ila madhara huwatokea wote sina maana wanaokufa ni watenda dhambi,
Tafuta hekima, na hekima hupatikana kwa kumuamini Mungu, sijui utaitolea wapi? Utapost utumbo tu kila siku

Sent from my Y3 using JamiiForums mobile app
 
Tafuta hekima ya kuelewa tafsiri ya kilichoandikwa. Maana unaonekana unasomaga biblia kwa mafungu si kwa mfululizo. Siwezi kujibu maswali kwani kila kitu kimeandikwa kutokea duniani ila sijaona kimondo kikubwa kama hicho kuogonga dunia. Kila mwanadamu atakufa kufufuka haimaanishi mtenda dhambi au la, machafuko husababishwa na watu wabaya ila madhara huwatokea wote sina maana wanaokufa ni watenda dhambi,
Tafuta hekima, na hekima hupatikana kwa kumuamini Mungu, sijui utaitolea wapi? Utapost utumbo tu kila siku

Sent from my Y3 using JamiiForums mobile app
Hekima, hekima ya kujifungia kwenye boksi na kuanza kukana, "hakuna kitu kinachoitwa nyota", kwa sababu hauzioni, na hautaki utoke nje ili uzione! Haujawahi kuona kimondo kikubwa kuigonga dunia, kama kilishawahi kugonga na kuuwa viumbe wengi unaukana vipi uwezekano wa kugonga tena? Kule nyuma umesema Mungu hapendi watu wafe, nikakuuliza wanaokufa ni waovu ukasema hapana, kwa nini Mungu aruhusu wema wake wafe wakati hapendi iwe hivyo? Jamaa walioandika biblia hawakuiandika kimafumbo, inatakiwa uisome kama ilivyo bila wewe kutia tafsiri zako kwa namna unavyopenda imaanishe (kwani neno la mungu si amri?!!), Yesu alipokuwa akiquote kutoka agano la kale hakufanya tafsiri kama zenu, alisoma moja kwa moja, kilichoandikwa mule ni literal. Mbona amri kumi hamzitafutii tafsiri, (lakini sheria ya kutokula nguruwe mnaitafutia tafsir ili mle). Acha kung'ang'ana hadithi za kale kijana.
 
Wapo waliokwisha kumuona, na kuona uweza wake, nenda ukawaulize watu wa Misri alichowafanyia walipowang'ang'ania waisraeli, hata wewe unamuona sema kwa kuwa huna hekima hukumtambua, ivi hao wachungaji wote waliopo duniani unadhani ni wajinga, wana akili na hekima zaidi yako, angalia vizuri jinsi familia yako ilivyo labda kuna mwenye laana, au ni matajiri sana, au ni masikini sana, na vitu hivyo humfanya mwanadamu kumdhihaki mungu wake, hivi unadhani MTU kaumbwa na nani? Je umetahiri? ni nani aliyetoa amri ya kutahiri magovi? Kwanini kwenye history kuna neno B.C (before Christ)? Mini maana ya neno Christ? Nini kinasababisha MTU akiombewa anapona? Nani mwanasayansi wa kwanza? Satellite ya kwanza ilirushwa angani kwa lengo gani? Ukitafuta majibu ya hayo maswali utajua Mungu yupo.

Sent from my Y3 using JamiiForums mobile app
Haahahahaa, inaonekana ufahamu wako ni mdogo sana. Subiri nikuulize kitu, unakumbuka kilichowakuta wale walikuwa wakijenga mnara kule babeli? Walifanywa nini? Kwa nini?
Nasubiri majibu.
 
duh mkuu ,yawezekana umaimnai inayokusukuma kusema hayo yote,lakini landa tuanzie hapa unadhani chimbuko hasa la mwanadamu ni nini kama si Mungu mwenyewe? na kumbuka sie washwahili tunamsemo unaosema heri uamini kwamba yupo ili ukikutana naye iwe sawa,kuliko kuhamini hayupo then siku ya siku unakutana naye sijui utasema nini?
Hivi mkuu unadhani chimbuko la mungu ni nini kama sio binadamu?

Hiyo nimekupa tu ili ufikiri.
 
haha kadri binadamu anavyozidi kumfata shetani na kimondo kinazidi kuisogelea dunia. naomba mshindo wake ukadondokee marekani kwa trump.
 
Ehhhe ina maana ile NIBIRU tuliyoambiwa ingepiga April 25 ndio imebadilika na jina au hiyo ni nyingine.
-kha!!! mkuuu nibiru si ni orbit jamani ?? na sio sayari ambayo wanaishi anunnaki?
 
Acha ligonge tuone sayari ya akina nani ngumu!!
Eeeh ligongane sasa tuone usikute sayari yetu nyanya mbele za sayari za mbele huko
Tugongane yaani tupime nani zaidi ha ha ha!!!
 
Hv n nan anayehitaji uongo kama huo.. Hao NASA n waongo na wanajdai wanascience bt wao kaz yao n kuwatisha watu bas
 
Haina shida liaangukia baharini kama sio bahar ya hindi,pasifik au atlantiki ndipo tutapopata kisiwa kipya n Tutakiita kisiwa cha BENNU.....kitakuwa koloni la africa......
Just thinking.....!!!!
 
Hahahahaa, Mungu yupi huyo? Mungu anayeuwa watu kwa njaa kule Usomali? Ameshindwa kuzuiya machafuko duniani ataweza kuzuiya kimondo?!!!
Mpumbavu hujisemea moyoni mwake hakuna! Huku yeye akiwa amekaa kwenye kiti cha enzi akimcheka..

Shetani ni mjanja sana, kwetu binadamu hutufikirisha juu ya upumbavu na kutufanya tuhoji vitu vya kijinga. Ila wema Mungu huvuma juu yetu kama unapata mtu wa kukutia moyo juu ya upuuzi huu ingawa bado ukaidi wetu hatusikii.
 
Back
Top Bottom