Kimondo (Astreroid) Au Jiwe Kubwa Hatari Kwa Dunia Yetu

India walikufa watu kwa Mionzi ya jua kutokana na kuharibika Kwa Ozone layer,Ila nlijiuza kwann iwe INDIA?.Hii Sayari ina watu wa Ajabu sana,vitu vingi sana ni PROJECTS za watu,Ht kuzama Kwa meli ys titanic ilikua ni Issue ya Popullation control kupunguza ongezeko kubwa lililokuepo At that time
Hii issue ya kimonDo still km kitadondoka usije Shangaa kikashukia hko Mashariki ya Mbali maana kwa Jicho LA tatu Hii ni MASSIVE DESTRUCTION WEAPON na anything can Happen,sometimes ni Njia pia ya kuwafanya watu wawe INSECURED Na MTU akiwa ktk hali hiyo ni rahisi sana kumuongoza KIAKILI ni sawa Na kumwambia mtu kwamba kuna nyoka mkubwa sana ndani mwake ni Dhahiri mtu huyo atakutizamia zaidi ktk MSAADA kwakua atahisi usalama wke upo kwako
anyway all am saying ni kwamba mambo yako tata in some ways kuliko ht taarifa tunazoletewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ligonge tuone sayari ya akina nani ngumu!!
Eeeh ligongane sasa tuone usikute sayari yetu nyanya mbele za sayari za mbele huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umeshindikana

nYaNi wA KaLe
 
Tatizo nyie mnamuomba Lucifer mkidhani ndio mungu tangu lini Lucifer akamnusuru binadamu na ubaya???Mungu wa kweli ninayemwabudu mbona huwa ananusuru mambo mengi sana chalii yangu mengine hata bila sisi wenyewe kujua
Imani imefunika uwezo wa kufikiri ndio tabu

nYaNi wA KaLe
 
Tatizo nyie mnamuomba Lucifer mkidhani ndio mungu tangu lini Lucifer akamnusuru binadamu na ubaya???Mungu wa kweli ninayemwabudu mbona huwa ananusuru mambo mengi sana chalii yangu mengine hata bila sisi wenyewe kujua
Siku utakapo lala na njaa usiku ukianza kuhesabu bati emu muombe uyo mungu wako Akuletee saani ya Ugali kama Atakuletea. Utahesabu bati Paka ukome

Sent using Jamii Forums mobile app
 
N
Imani imefunika uwezo wa kufikiri ndio tabu

nYaNi wA KaLe
Mkuu usifosi tufanane kimawazo na kimtizamo.. Amini unachoamini na mm niache niamini ninachokiamini after all hakuna ambaye anaweza kukibadilisha kile ninachoamini
 
Wapi nimesema tunamuomba ibilisi? Kwanza maelezo yangu nimeyatoa kwa upande wangu binafsi!
Lakini kwa jinsi ulivyo na ufinyu wa fikira tayari umesema kwamba "tunamuomba lucifer".

Wapi nimesema tunamuomba lucifer? Na tunamuomba lucifer mimi na nani?
Nonsense, pointless
 

Hili kama wameweza kuliona, basi hata kuliondoa wataliondoa. Wazungu are very smart.
 
Kimondo cha hatari zaidi kipo kimepaki sasa hivi North Korea kwa Kim Jong Un.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…