Kimueumana: Djuma na Aucho out Yanga


Kwa hiyo wameamua kuja kuudanganya Umma wa Watanzania kisa ni “mind game”[emoji3][emoji3].Mtani naona uko kwa Denial
 
Fuatilia thread za humu utaona kolo wenzio ndio wanaongoza kuanzisha thread zinazoihusu Yanga,hapo ndio utajua kolo ndio wako busy na Yanga,yan sasa hivi kolo kanga moko wote aipiti masaa 2 bila kumtaja manara
 
Kama ni hivyo basi hii mbinu ni ya kishamba sana na imepitwa na wakati na hata hao walengwa watakuwa wameshaing'amua, kama hamjawekeza kwenye mbinu za kwenye pitch hizi za nje ya uwanja hazina tija kabisa mngoje kumanuliwa tu.
The return of champions
Mabingwa wa muda wote
 
ITC za djuma na mayele hawa klabu yao ya as vita ilishindwa kuwapa itc yanga mapema

1.hawakumalizana malipo
2.walihofia kutoa itc mapema wakihofu yanga ingewauza tena
Hao wachezaji wamemaliza mikabala yao mwisho wa mwezi wa nane. Wamekuja Yanga bure
Wasingeweza kupata ITC la sivyo Yanga wangetakiwa kulipa fedha ya kuvunja mkataba
 
Kwani Manara akizungumza na wanahabari ndio mtakuwa mmeshinda magoli mangapi?

Huu ushamba wenu unaurudisha mpira wa Tanzania nyuma miaka 30, Simba wanajitahidi kuupeleka mbele kwa vitendo, nyie daima nyuma mbele mwiko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kwamba wanataka nyuma tu sio? Mbele hapana
 
BWEGE kwel. CEO wa kimataifa yupo hapa nchini miaka mingap pasipo UBINGWA
 
Champions wa CAF? Lini mmekuwa mabingwa? maana slogan ni kwa ajili ya mashindano hayo,usiniambie kuwa Champios alimaanisha wa VPL[emoji3][emoji3]
Mabingwa wa muda wote Afrika Mashariki na kati
 
Kwahiyo mind game na watanzania siyo?
Au Wanaijeria walikuwa busy kumsikiliza Msukule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…