Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,472
- 6,391
Wachezaji wote wapo ndani ya uwanja siku hiyoeti big mind
daaah
Mark my words
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachezaji wote wapo ndani ya uwanja siku hiyoeti big mind
daaah
Wachezaji wote wapo ndani ya uwanja siku hiyo
Mark my words
Habari yakoJiandae kisaikolojia,si rahisi kihivyo na ukumbuke Yanga ni timu kubwa ina CEO wa kimataifa na matajiri wanaojielewa siyo wale wanaodanga na jushi da mitandaoni.Bingwa wa hamasa Duniani H.Manara anazungumza na wanahabari leo jumatano,saa 6 mchana.Stay tuned
Usijali mkuu, The return of champions Jumapili wale Wanigeria wanapigwa nyingi sana
Halafu hiyo ni mind game tu, utashuhudia hiyo j pili hao wachezaji wanakichafua pale kwa mkpa
Jiulize kuhusu Moloko na Bangala, hawa ndo wachezaji wa mwisho kusajiliwa na kwanini ITC zao zimekuja mapema wakati Mayele na Djuma na Aucho waliosajiliwa mwanzo ITC zao ndo zichelewe
Big mind ndo wataelewa hii issue
🤣🤣🤣 jamaa ana makasirikio sanaHawezi kujibu anaumwa tumbo la kuhara baada ya kumsikia Semaji wa Club [emoji3][emoji3]
Fuatilia thread za humu utaona kolo wenzio ndio wanaongoza kuanzisha thread zinazoihusu Yanga,hapo ndio utajua kolo ndio wako busy na Yanga,yan sasa hivi kolo kanga moko wote aipiti masaa 2 bila kumtaja manaraTeh teh hawa jamaa ni mapimbi tena yaliyotukuka yaani kutwa wanahangaika na Simba iliyokamili kila sekta wakati wao mlango upo wazi na viongozi wa Yanga wameshajua mashabiki wa hii timu ni watu wa upepo wakiletewa Koffi Olomide na wakata viuno wa Kongo kwenye timu watasahau kila kitu sasa angalia wameshapigwa na kitu kizito wafwaaaaaaaaah
Kwa hilo simba mliupiga mwingi sana kwa kutoa ITC ya Manara mapema[emoji23][emoji23][emoji23] Mtani uzuri Simba ilitoa ITC ya Manara haraka, hakuna pengo litakaloonekana.Manara ataziba nafasi zote za Wachezaji hao watatu.
The return of championsKwa hiyo wameamua kuja kuudanganya Umma wa Watanzania kisa ni “mind game”[emoji3][emoji3].Mtani naona uko kwa Denial
The return of championsKama ni hivyo basi hii mbinu ni ya kishamba sana na imepitwa na wakati na hata hao walengwa watakuwa wameshaing'amua, kama hamjawekeza kwenye mbinu za kwenye pitch hizi za nje ya uwanja hazina tija kabisa mngoje kumanuliwa tu.
Hao wachezaji wamemaliza mikabala yao mwisho wa mwezi wa nane. Wamekuja Yanga bureITC za djuma na mayele hawa klabu yao ya as vita ilishindwa kuwapa itc yanga mapema
1.hawakumalizana malipo
2.walihofia kutoa itc mapema wakihofu yanga ingewauza tena
HahahaHao wachezaji wamemaliza mikabala yao mwisho wa mwezi wa nane. Wamekuja Yanga bure
Wasingeweza kupata ITC la sivyo Yanga wangetakiwa kulipa fedha ya kuvunja mkataba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utopolo ni timu kongwe na sio kubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani Manara akizungumza na wanahabari ndio mtakuwa mmeshinda magoli mangapi?
Huu ushamba wenu unaurudisha mpira wa Tanzania nyuma miaka 30, Simba wanajitahidi kuupeleka mbele kwa vitendo, nyie daima nyuma mbele mwiko.
The return of champions
BWEGE kwel. CEO wa kimataifa yupo hapa nchini miaka mingap pasipo UBINGWAJiandae kisaikolojia,si rahisi kihivyo na ukumbuke Yanga ni timu kubwa ina CEO wa kimataifa na matajiri wanaojielewa siyo wale wanaodanga na jushi da mitandaoni.Bingwa wa hamasa Duniani H.Manara anazungumza na wanahabari leo jumatano,saa 6 mchana.Stay tuned
Mabingwa wa muda wote Afrika Mashariki na katiChampions wa CAF? Lini mmekuwa mabingwa? maana slogan ni kwa ajili ya mashindano hayo,usiniambie kuwa Champios alimaanisha wa VPL[emoji3][emoji3]
Kwahiyo mind game na watanzania siyo?Usijali mkuu, The return of champions Jumapili wale Wanigeria wanapigwa nyingi sana
Halafu hiyo ni mind game tu, utashuhudia hiyo j pili hao wachezaji wanakichafua pale kwa mkpa
Jiulize kuhusu Moloko na Bangala, hawa ndo wachezaji wa mwisho kusajiliwa na kwanini ITC zao zimekuja mapema wakati Mayele na Djuma na Aucho waliosajiliwa mwanzo ITC zao ndo zichelewe
Big mind ndo wataelewa hii issue