Kimuhemuhe cha umiliki wa Gari ya kwanza

Yes upo sahihi mwenyewe pikipiki ya nyumbani sikuwahi fundishwa na baba na hata mtu mwingine aliponifundusha ilileta ugomvi wa baba na mama ila neema iliponitembelea ya kumiliki kachuma nilifanya baadhi ya vitu ulivyo ainisha ila vingine vimezidi
True
 
Hapa gari yangu bora kabisa ni Suzuki Jimny - Manual Transmission. Specifically hiki kipya 4th generation (2018 - current), sidhani kama nitakuja kugusa gari nyingine nje ya hii maisha yangu yote.
Mmmmmmhmn vile vimkate vya boflo
 
Ila kwa sasa hivi bei imeshuka kidogo haka ka 2020 miezi mitatu iliyopita nilikuwa pale CFAO Motors - Suzuki Tanzania unaipata kwa milioni 62 tu kwa manual transmission ila auto ni karibu 69M kasoro bima tu.
Okay
 
Inabd unip uzoez kwa sasa nding hiz ukiagz had zfk mkono inawez ikaliw ngap
Zenye 1.5 toyota

Ipsum
Filder
Allion
Allex.
Lunix


Zinawez kuw above m13
Karibu kwenye club
 
Yes, ni square edged box design. Kanachonivutia haka kagari kapo simple and very practical hasa hasa kwa mtu ambaye ni minimalist.
Mmmmmmhmn ma'minimalist mnatabu sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
Inabd unip uzoez kwa sasa nding hiz ukiagz had zfk mkono inawez ikaliw ngap
Zenye 1.5 toyota

Ipsum
Filder
Allion
Allex.
Lunix


Zinawez kuw above m13
Kwa bajeti hiyo unaagiza fresh kabisa
 
Nshaunguza sana hzi plates, maana nlikua natembea kwny barabara mbovu mixer foleni kwa hyo mda wote mguu kwny clutch.
 
Ila kwa sasa hivi bei imeshuka kidogo haka ka 2020 miezi mitatu iliyopita nilikuwa pale CFAO Motors - Suzuki Tanzania unaipata kwa milioni 62 tu kwa manual transmission ila auto ni karibu 69M kasoro bima tu.
How comes auto inakua expensive kuliko manual, wakati always gari manual bei yake hua imesimama ukilinganisha na auto
 
Inabd unip uzoez kwa sasa nding hiz ukiagz had zfk mkono inawez ikaliw ngap
Zenye 1.5 toyota

Ipsum
Filder
Allion
Allex.
Lunix


Zinawez kuw above m13
Alion hadi 15m, allex na runx ni 14m. Ila hzo ipsum na zingine unaeza pata kwa less than 13m
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…