Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
Ukute ndan kitu cha autooMikwara tu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukute ndan kitu cha autooMikwara tu....
Kabisa. Manual ni technology ya kizamani na gari za sasa za auto zinazidi kuboreshwa Kuna AT, AMT, IMT, CVT, DCT.Ukute ndan kitu cha autoo
Hahahahahaah ngoja wajee hapa mkuu....ila mm mambo ya kuua gear box,sitak kusikiaKabisa. Manual ni technology ya kizamani na gari za sasa za auto zinazidi kuboreshwa Kuna AT, AMT, IMT, CVT, DCT.
Sasa ya nini kujitesa na kuendesha gari hadi miguu inauma. Ndo maana madereva wa zamani viuno ilikuwa shida maana wanakaza tako safari nzima.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi ni bora niende nikapaki upanga kuliko kwenda nayo karikoo kugombania parking [emoji2405] za kubanana Mixer kugusana ni dakika tano. Naenda paki gari upanga nachukua pikipiki buku mbili nakuja kariakoo....Nilishawahi kununua ile dawa ya scratch...kila saa nafuta
Uoga tu wanakuwa wanaogopa vitu minor ila automatic ndio transmission nzuri. We tazama hata ajali zimepungua kwa miaka hii ingawa kumekuwa na ongezeko kubwa la madriver.Hahahahahaah ngoja wajee hapa mkuu....ila mm mambo ya kuua gear box,sitak kusikia
Unachosema ni ukweli mtupuUoga tu wanakuwa wanaogopa vitu minor ila automatic ndio transmission nzuri. We tazama hata ajali zimepungua kwa miaka hii ingawa kumekuwa na ongezeko kubwa la madriver.
Hahaha the same[emoji847]Upo sahihi..mimi gari yangu ya kwanza nilikuwa hata nikipark naenda kupata lunch ama dinner nataka niione..meza nayokaa nione mkoko wangu..[emoji16]
Kulala ndani ya gari lazima, ila mbu utawakoma[emoji16]Haaha siku nikija nunua gari nahisi day 1 ntalala ndani ya gari[emoji23][emoji23] pia kuiacha gari nje mimi nilale ndani sijui kama usingizi utakuja. Hongereni wote mlioweza kuwa na magari. Napenda IST new model iwe gari yangu ya kwanza[emoji14]
Ndo maana wazungu wana utamaduni watoto wao wakitimiza miaka 16 anampeleka driving school. Akipata leseni mzazi anamnunulia mtoto gari ya kuanzia maisha.Uliyoyasema yote yalinikuta kila nikikumbuka huwa nacheka nakuona aibuu[emoji848]
Engine ikichafuka unafanyaje mkuu? Maana na mimi carwash wananichosha kwa kuharibu vitu[emoji3][emoji3][emoji3]Umenipeleka mbali kichizi 2009 gar yangu ya kwanza ni raum ile old model,T 702 ATR hapo bado nlikuwa naishi home kwa wazazi, kila siku ilikuwa ugomvi na maza nakausha ukoka kwa kuoshea gari hapo kila siku lazima
Ipigwe kiwi
Lakini hata sasa sijaacha hiyo tabia, gar yangu iko mng'aro daily na naosha mwenyewe sijui car wash
Hongera mkuuView attachment 2012235
Daaah mkuu huu Uzi ni kama uliniona hivi, nmeagiza hiyo chombo itatua bongo trh 24/12/2021 kwa Meli ya Silver Ray...Hapa nshaanda Flash yenye Masebene na Fungu la Android tv na Wooofer[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]....naona siku hazitembei kabisaaa.
Unawasha AC halafu unasima. Ila liwe gar sasa sio passo au vits [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ila passo. Dah nilikuwa nasemwa kama siendeshi gari..... Watu walikuwa wanaona kama naendesha lunchboxKulala ndani ya gari lazima, ila mbu utawakoma[emoji16]
Ombea ndinga kali zaidi sio IST banaa[emoji2960][emoji2960]
Wee inauma balaaHakuna kitu huwa kinauma mwanzoni kama gari kupata scratches [emoji23][emoji23][emoji23]
Mmmmh[emoji849][emoji849][emoji848]19.4 mil
Haahaaahaaa..scratch ikiwa kubwa ile dawa haifanyi kazi tena gari ikiwa nyeusi ndo kabisaaNilishawahi kununua ile dawa ya scratch...kila saa nafuta
Haahaa we kiboko....si uingie mkapa pale kwenye makapeti buku 2 siku nzima, parking kama loote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi ni bora niende nikapaki upanga kuliko kwenda nayo karikoo kugombania parking [emoji2405] za kubanana Mixer kugusana ni dakika tano. Naenda paki gari upanga nachukua pikipiki buku mbili nakuja kariakoo....
Kumbe tuko wengiWee inauma balaa