Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,374
- 6,857
Toa milioni 4 kwenye hiyo bei hadi mkononiHuwa inakua tsh ngapi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa milioni 4 kwenye hiyo bei hadi mkononiHuwa inakua tsh ngapi??
[emoji3][emoji3][emoji3]Utafikiri umekwanguliwa wewe mwilini
Mimi upanga kule kuna majengo mengi sana najuana na washkaji halafu kutwa nzima yanakuwa idle. So huwa nakwenda naiweka pale tena free tu. Kisha narudi mjini kariakoo kufanya yangu hadi nimalize. Ni kazi ila nasave pesa plus unecessary stress za kutoka karikoo ule muda wa rush hour.Kuja kuipata hiyo parking sasa
Ndo ipo wapi hiyo?![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi huwa sisumbuki naacha mkuki mall...askari nampoza na buku nachukua boda nazama kariakoo
Yeah hii pia ni nzuri ila inategemea pia unaishi maeneo yapi!Mimi upanga kule kuna majengo mengi sana najuana na washkaji halafu kutwa nzima yanakuwa idle. So huwa nakwenda naiweka pale tena free tu. Kisha narudi mjini kariakoo kufanya yangu hadi nimalize. Ni kazi ila nasave pesa plus unecessary stress za kutoka karikoo ule muda wa rush hour.
Maana unaweza ingia kariakoo saa nane ukatoka saa kumi na moja kasoro sasa balaa namna ya kutoka hadi ufike home.
Mkuu acha utani basi hii ndinga ml 12?Kutoka Japan hadi mkononi kwako ni 11-12 haizidi hapo
Toa milioni 4 kwenye hiyo bei hadi mkononi
Mkuu ni sh ngap?
Inategemea unatokea wap.iko karibua na mataa ya kamata...Ndo ipo wapi hiyo?!
Sheli pia na supermarkets na maduka yenye parking ni sehemu nzuri kujibanza.
Kutoka Japan hadi mkononi kwako ni 11-12 haizidi hapo
Mbona umecheka mkuu?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Njoo tulime maparachichi huku. Baada ya miaka mitatu tunanunua vi Vitz vyetu [emoji16][emoji16][emoji16]Hahahaaa hapa kama umeniona, nishaandaa list ya nyimbo na uwezo wa kununua kwa sasa sina lakini najua one day yes. Nawaza siwezi acha weka mafuta full tank
Mbona umecheka mkuu?
Nadhani anachanganya Ist zile matoleo ya 2002 hadi 2004 na hii ya 2006 nadhani kama nimekosea nitarejea kurekebisha.