funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,624
- 21,362
Kapigwa vibaya halafu hamna gari hapo bora old model. Mie nilikanunua hako kagari nikakasukuma in two monthsIST mil 19.4? umepigwa parefu sana ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapigwa vibaya halafu hamna gari hapo bora old model. Mie nilikanunua hako kagari nikakasukuma in two monthsIST mil 19.4? umepigwa parefu sana ww
Utaweza mkuu...easy sanaNasisi tunapenda mkuu, ila mimi na huu uoga huwa nawaza hivi hii Dar hizi vurugu ntaweza kweli kuendesha, naonaga watu wote wako rough barabarani [emoji23]
IST new model si imara mkuu? Mbona wanitisha na dream car yangu😀Kapigwa vibaya halafu hamna gari hapo bora old model. Mie nilikanunua hako kagari nikakasukuma in two months
Sawa sawa mkuuMkuu upo kabsa!? naomba tutaftane
Kama tayari una flash yenye nyimbo 100 Safi sana, sasa nunua pia na air fresher kalii ya kuweka pale mbele [emoji12][emoji12][emoji12]Hahahaaa hapa kama umeniona, nishaandaa list ya nyimbo na uwezo wa kununua kwa sasa sina lakini najua one day yes. Nawaza siwezi acha weka mafuta full tank
Aisee, ndinga inang'aa muda wote yani😂 sahivi bado kapo mkuu au ulikauza?Mimi nilinunua ka vitz old model no B ,ndo kalikuwa kangu ka kwanza ...
kalitunzwa mpka aloniuuzia ananiuliza ndo hiii gar niliokuuzia au??[emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee car wash sana tu...wese fulu mno
Hata akija mshikaji ntampeleka ppte
ni ujinga but its natural being
Siyo Volkswagen Touareg??Haaha siku nikija nunua gari nahisi day 1 ntalala ndani ya gari[emoji23][emoji23] pia kuiacha gari nje mimi nilale ndani sijui kama usingizi utakuja. Hongereni wote mlioweza kuwa na magari. Napenda IST new model iwe gari yangu ya kwanza[emoji14]
Hata hiyo ni nzuri ila pia naipenda Hiyo kwa sasa ila Range Rover Sport ndiyo Dream car😍Siyo Volkswagen Touareg??
Hahahahah haya mambo ndo hufanya Maisha yaendeMi nakumbuka tulikuwa twailinda na wife, geti likiguswa tu naanshwa kuangalia gari. Nikaona ni kazi nikafunga Alarm, ikilia usiku naamshwaa kuiangalia kama ipo.
Nikaona niiweke karibu na dirisha kabisa 2016 hiyo
Inafika huko mkuu wasikupe wenge hawa. Hizo new model unapata 17-19m. Sasa pia kutegemea kama ni mwaka wa mbele inaeza fika hio beiHuwa inakua tsh ngapi??
Hizo ni ist za toleo 2006 huko ndo unapata kwa bei hio. Ila new model hi aloagiza na bei hio ni sawa kabisaKutoka Japan hadi mkononi kwako ni 11-12 haizidi hapo
[emoji28]unaota wewe. Labda umvue mtu hapa bongo. Maana IST zenyewe model ya zamani zinafika hadi 14m sahvToyota IST new model 15.4 mill.
Acha ubishi mkuu hizo gari minimum price ni 17m.. sasa wewe na huyo agent labda hizo gari kama anazitoa Singapore huko ambapo wanaokota tu magari afu mnakuja uziwaUMEPIGWAAA!!! haizidi 15 point something mpka 14 ...kama unabisha nkutumia namba ya agent maarufu town uende ofisini kwao ukapate qoutation ya hyo gari
Dadeki we jamaa. Naomba unioneshe huyo agent ambae anakupa hii gari kwa 14m.Ngoja nkae kimya...mzee kweli hili gari lako la kwanza [emoji23][emoji23] hii ist new model haizidi 15 / 14 .....
siyo mbaya acha ageny apate cha juu ila 19.4 yani naionaa KLUGER kwa mbaaaaaaliii nkiongeza hela ya mboga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naomba niwe sponsor wakoHaaha siku nikija nunua gari nahisi day 1 ntalala ndani ya gari[emoji23][emoji23] pia kuiacha gari nje mimi nilale ndani sijui kama usingizi utakuja. Hongereni wote mlioweza kuwa na magari. Napenda IST new model iwe gari yangu ya kwanza[emoji14]
Madogo wachafuzi sana wa magarihuu uzi leo ndo nimeamini kumbe sio wote JF wana magari😛😛😛. Nyuzi nyingi za magari kila mtu anatoa user experience yaani wachangiaji wote wana magari, kumbe sio bhana.
Mi huwa mtu akiingia na matope au vumbi pale kwenye kikanyagio mlangoni huwa nachukia sana, sasa wakiingia madogo wakachafua nawaangalia🙄🙄 halafu naishia tu kusema hii ni gari ya familia na hawa ndo wenyewe haswa napiga moyo konde nawasha gari nasepa nao.
UMEPIGWAAA!!! haizidi 15 point something mpka 14 ...kama unabisha nkutumia namba ya agent maarufu town uende ofisini kwao ukapate qoutation ya hyo gari