Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio watu wazuri nyie[emoji57]
Kwani wenye daladala wao nao si wanamuomba Mungu!
Wewe hata Passo inakufaa.. huna masafa[emoji28]Subiri Boxing day..Mnaninunulia lini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisa yaani hapo jamaa hata ungemwambia nipeleke wapi anakupeleka sharti ni aendeshe yeye sio wewe uendeshe na hata akikuachia uendeshe atatafuta sababu msimame sehemu halafu mkiwa mnarudi kwenye gari anaomba ufunguo wake ili aendeshe.... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah aiseeHiyo namba 11..
Kuna jamaa yangu mara ya kwanza kumiliki gari alikuwa hatulii, kila muda anakuwa na safari tu.
Alikuwa anaamka hata saa 6 usiku anaingia road na atarudi hata saa 8
Kuna muda alikuwa anaweza akatoka Kinondoni akaenda hata Tegeta ukimuuliza vipi tena Kuna issue gani huko, anakuambia ameenda kula msosi[emoji1] wakati sehemu za chakula zimejaa Kinondoni.
Ni kawaida ni wenge Fulani ambalo kila mtu anayemiliki kitu kwa mara ya kwanza anaweza kuwa nalo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani wenye daladala wao nao si wanamuomba Mungu!
Km kitu siwezi ni kuosha gari mwenyewe uwiii sijawahi..😀😀😀Umenipeleka mbali kichizi 2009 gar yangu ya kwanza ni raum ile old model,T 702 ATR hapo bado nlikuwa naishi home kwa wazazi, kila siku ilikuwa ugomvi na maza nakausha ukoka kwa kuoshea gari hapo kila siku lazima
Ipigwe kiwi
Lakini hata sasa sijaacha hiyo tabia, gar yangu iko mng'aro daily na naosha mwenyewe sijui car wash
Hapo jamaa anajiuliza huyu jamaa sijui nimuombe aniuzie.Mimi nilinunua ka vitz old model no B ,ndo kalikuwa kangu ka kwanza ...
kalitunzwa mpka aloniuuzia ananiuliza ndo hiii gar niliokuuzia au??[emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee car wash sana tu...wese fulu mno
Hata akija mshikaji ntampeleka ppte
ni ujinga but its natural being
Gari yenye flava ya kununua mwenyewe jmnNdo maana wazungu wana utamaduni watoto wao wakitimiza miaka 16 anampeleka driving school. Akipata leseni mzazi anamnunulia mtoto gari ya kuanzia maisha.
Ile inawasaidia vijana kuwa confidence kumiliki na kutumia gari kwa utulivu. Yaani akija nunua gari anakuwa very confident kuitumia na comfortable.
Bongo mzee akununulie gari sijui labda awe ni kibopa au tajiri sana.
Yaani wewe[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]Wewe hata Passo inakufaa.. huna masafa[emoji28]Subiri Boxing day..
Sent using Jamii Forums mobile app
The negative side of being born with a silver spoonTo be honest I was wondering!, How that possible!?, ulipoandika hivi ndo nikaelewa kumbe, when you start driving at early age, huwezi kua hivyo bcoz owning a car inakua kitu cha kawaida sana, tho unakua happy ku own your dream car lakin not that much😆..... by the way I started driving at 15 years na nilikua naend popote napotaka, some of my friends walikua wanaenda secondary school na gari, so today..even if niki own Buggati I don't think nitakua hivyo, zaidi yakuwa proud of myself to own a such expensive car in the world. Sijui kwann Mimi huwa I get bored easily naweza furahia kitu kwa muda mchache sana after that naona kawaida ama nisione thamani yake tena 😟 so sad.
Weee alafu usiku nikaota gari imeibwa, na nilitembelea chesis no#. Niliruka kitandani kucheki dirishani sina hamu.Hii hata diamond alisema gari yake ya kwanza alilaza dirishani na hakulala maana alikuwa anaamka kila dakika kuitazama kama kuna bwege anaigusa.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Yaani wewe[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Dawa yako iko jikoni.
Acheni roho za koroshoUkiizoea unaona kawaida..japo mhaho unasaidiaa kuendeleza matunzo
Hadi kesho kuazimisha gari siwezi...nikimpa basi kwa shingo upande sn..siamini atajali kama mimi
Mimi sio mtu wa hayo mambo boss. Sinaga wenge na wanawake.Hii ikifika tuu utakula pis zote za kijanja,hiyo gari maskini hawaijui kabsaaa
Nunua afu utajua ni korosho au ni karanga lolAcheni roho za korosho