[emoji1787][emoji1787][emoji2] Asee umenikumbusha mbali sana, kaka yangu aliponunua gari yake ya kwanza (Noah) aisee ilikua ni burudan. Ile Noah ilikua inapendwa kuliko mke[emoji1787][emoji1787]. Ile Noah masaa yote vioo havifunguliwi, haijawah kua na mafuta chini ya robo tank. Kuhusu kuiosha ndo usiseme, adi NUT za kufunga tyre zilishika kutu.
Japokua nilikua nimeshafikisha umri wa ku drive lakn ile Noah sikuwah kupewa, njia pekee niliendesha ile Noah tena ni mara moja, niliiba.
Nilivizia kaenda safr na nkachora ramani funguo inapofichwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji39][emoji1787]. Aisee nilikula misele mbaya[emoji1787] ilikua ndo mara yangu ya kwanza kukimbiza gari juu ya 160 KM/H