Kimuhemuhe cha umiliki wa Gari ya kwanza

Kimuhemuhe cha umiliki wa Gari ya kwanza

Kabisa. Manual ni technology ya kizamani na gari za sasa za auto zinazidi kuboreshwa Kuna AT, AMT, IMT, CVT, DCT.

Sasa ya nini kujitesa na kuendesha gari hadi miguu inauma. Ndo maana madereva wa zamani viuno ilikuwa shida maana wanakaza tako safari nzima.
Dereva wangu anajiuguza kiuno sasahivi, ...😀😀 hizo gari za manual zinatesa sana
 
Unawasha AC halafu unasima. Ila liwe gar sasa sio passo au vits [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ila passo. Dah nilikuwa nasemwa kama siendeshi gari..... Watu walikuwa wanaona kama naendesha lunchbox
Huhuuhuuu..visaloon cars hapana asee havina mzux
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi ni bora niende nikapaki upanga kuliko kwenda nayo karikoo kugombania parking [emoji2405] za kubanana Mixer kugusana ni dakika tano. Naenda paki gari upanga nachukua pikipiki buku mbili nakuja kariakoo....
🤣🤣🤣🤣🤣 mimi huwa sisumbuki naacha mkuki mall...askari nampoza na buku nachukua boda nazama kariakoo
 
huu uzi leo ndo nimeamini kumbe sio wote JF wana magari😛😛😛. Nyuzi nyingi za magari kila mtu anatoa user experience yaani wachangiaji wote wana magari, kumbe sio bhana.
Mi huwa mtu akiingia na matope au vumbi pale kwenye kikanyagio mlangoni huwa nachukia sana, sasa wakiingia madogo wakachafua nawaangalia🙄🙄 halafu naishia tu kusema hii ni gari ya familia na hawa ndo wenyewe haswa napiga moyo konde nawasha gari nasepa nao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kile kisehemu huwa kinaonekana sana. Halafu mtu akiparazisha limguu lake pale unatamani umpe neno zito kumwambia kakuumiza hisia.

Halafu pakichafuka unaona kama gari nzima imechafuka unatamani kwenda CAR washa waoshe walitie udhu.
 
Dereva wangu anajiuguza kiuno sasahivi, ...😀😀 hizo gari za manual zinatesa sana
Unajua watu hawajui kuwa mzungu alishakaa akatathimini mapungufu ya manual ndipo akaona kipengele cha manual clutch kitolewe na hilo jukumu lifanywe na computer automatically.

Manual kuendesha kama mzembe utakaanga sana zile clutch plates, kwenye foleni ya Dar utajuta, maana ni bumper to bumper, safari za mbali ndio hivyo lazima uwe attention muda wote sababu gari inaingiza gear kwa kutumia akili yako na sio computer.

Sasa madereva wa safari ndefu akishachoka sehemu za hatari kuzingua ni dakika tano tu.

Wacha waseme ila Automatic ni transmission nzuri zaidi na rafiki kwa madereva. Siku hizi hadi wanawake tunagombania nao foleni ya leseni tofauti na zamani ukienda kuchukua leseni leo leo unarudi nayo hakuna foleni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Scratches ndogo tu inakunyima usingizi unaumwa kabisa.. [emoji3]
 
Back
Top Bottom