Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni bibi yetu mpendwa wa humu jf, hapo ni enzi za ujana wake
Hahahah! Si kweli....Kuna ninayemfahamu si flatscreen hata kidogo kiufupi ni hatarii........Jf hakuna wa hivyo, wamejaa flat screen
hebu ninong'oneze mkuu nikatipie ndoano pmHahahah! Si kweli....Kuna ninayemfahamu si flatscreen hata kidogo kiufupi ni hatarii........
Una uhakika?au inajitia ujasiri wa Dr Shika[emoji1]Jf hakuna wa hivyo, wamejaa flat screen
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Rose Mhando
mtoto wa aunt yangu huyu.
Naomba pm yake nijikipuage mie....[emoji39] [emoji39]Hahahah! Si kweli....Kuna ninayemfahamu si flatscreen hata kidogo kiufupi ni hatarii........
Mkuu nimekutumia pm tafadhali.....mtoto wa aunt yangu huyu.
Kweli jf hamna mtu anayepindisha majani na mikono hivyo kuongeza mbinukoJF? sidhani
inasemaje hiyo pm?Mkuu nimekutumia pm tafadhali.....
Isome tu mkuuinasemaje hiyo pm?