Kimuonekano umefanana na mtu gani mashuhuri?

Nmefanana na Lisa wa Rapcha[emoji4][emoji4]
 
Hivi ni mimi tu au maana kila nikienda sehemu lazima nifananishwe na mtu

Imekuwa kero sijui shida ni nini
 
Naona Watu wa Kitengo ( SSIT ) Makao Makuu Oysterbay mnataka sasa Kujiridhisha na JF Members mnaowatafuta, wahisi na hata Wengine kuwa na Picha zao tayari.

Haya Mimi nafanana na Bolo Yung!!!
 
Hapo wote sasa sio mashoga, wanawachota akili wa Africa ili wawa win. Wazungu kwa propaganda wako vuzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…