Kimya Cha Rais Samia kuhusu kifo cha kiongozi wa CHADEMA, Ally Kibao, kinaanza kutia wasiwasi mkubwa

Kwa kweli katika hatua tuliyofikia Taifa hili, inabidi wananchi tuendelee kuliombea Ili lirejee kuwa ni Taifa la Amani kama lilivyokuwa hapo awali.

Mungu ibariki Tanzania
MUNGU akubariki kwa hili ANDIKO
 
Hata wewe mwenyewe unafahamu finally kiwa hawawezi kujiuzulu wala kuwajibishwa na Mamlaka za Teuzi kwa sababu ya....
 
Naamini kuwa maombi Kwa Mungu, Yana nguvu sana na kama majibu yake yasipokuja leo au kesho, bado naamini ipo siku Mungu aliye Mkuu kuliko kitu chochote hapa Duniani atatoa majibu tuuu.
Full Stop
Mambo yana badilika siku zote hivyo tuombe au tusiombe hayawezi ishi milele.
Sababu ya mambo kubadilika ni kupitia watu wenyewe.
Ikiwa binadamu ndio hufanya mambo kubadilika kila wakati, je tuchukue hatua gani stahiki?
 
Hata wewe mwenyewe unafahamu finally kiwa hawawezi kujiuzulu wala kuwajibishwa na Mamlaka za Teuzi kwa sababu ya....
Kama hawawezi kujiuzulu Wala kuwajibishwa na mamlaka zilizowateua, je hao watawala wetu, hawaoni namna Jamii ya watanzania na Jamii ya kimataifa itakayotutafsiri kuwa sisi watanzania ni Jamii ya hovyo sana??😳
 

Wameshambreaf kilichofanyika na sababu zao. Itabidi akae tu kimya mpaka tusahau.
 
Wanataka big result now, ama kushuhudia anaye jitekenya akicheka.

Hivi kauli mbiu ya "Big result now" iliishia wapi
Ni lini ccm iliendeleza kauli mbiu zake? Jembe na nyundo tu zenyewe zishachakachuliwa.
Siku hizi kuna magari na tumbo!πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£
 
Isije ikawa hata yeye hajui whats going on, Yaani na yeye anashangaa kama ww, like whats the https://jamii.app/JFUserGuide z going on in my country πŸ˜ƒ
 
Ni lini ccm iliendeleza kauli mbiu zake? Jembe na nyundo tu zenyewe zishachakachuliwa.
Siku hizi kuna magari na tumbo!πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£
Ile alama ya Jembe na Nyundo, ilikuwa ni enzi za Mwalimu Nyerere.

Ni kweli hivi sasa, hilo Jembe na Nyundo vimesha-expire na hivi sasa vitu vinavyo-trend ni Mashangingi na ku-own Makasri ya kufa mtu,😳
 
Wasiwasi wangu ni kwa Soka na wenzake maana siku zinaenda na mamlaka zote zimekana kuwashikilia nahofia ya Ben Saanane πŸ˜₯
 
Ile alama ya Jembe na Nyundo, ilikuwa ni enzi za Mwalimu Nyerere.

Ni kweli hivi sasa, hilo Jembe na Nyundo vimesha-expire na hivi sasa vitu vinavyo-trend ni Mashangingi na ku-own Makasri ya kufa mtu,😳
Magari, majengo, mahirizi, mapete, mademu na machawa
 
Kama hawawezi kujiuzulu Wala kuwajibishwa na mamlaka zilizowateua, je hao watawala wetu, hawaoni namna Jamii ya watanzania na Jamii ya kimataifa itakayotutafsiri kuwa sisi watanzania ni Jamii ya hovyo sana??😳
Anayetakiwa kujiuzulu na anayetakiwa kumuajibisha walikaa kikao kabla na kukubaliana kufanya mambo fulani huko msituni kama tulivyoelezwa na yule aliyewahi kuwa Disii wa Longii.
 
Wasiwasi wangu ni kwa Soka na wenzake maana siku zinaenda na mamlaka zote zimekana kuwashikilia nahofia ya Ben Saanane πŸ˜₯
Hiki kimya kizito kinachoendelea, kinaonyesha dhahiri kuwa hawa kina Soka na wenzie, maisha yao yana asilimia ndogo sana kuwa bado wapo hai!😭
 
ulitaka ajambe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…