Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kuna mwenzio aliniambia hivyo baada ya kupata mtoto wa kwanza viapo tele, kwa sasa anao watatu na yule yule na bado anakula viapo kila leo.woooiii,,sema siwezi anika humu,,ila hata kwa mpumbavu kiasi gani hawezi rudi.
ndugu wewe,,ni wavaa mikanda tena kila jumapili wapo ibadani,,,bora hata upate mwenza bar ieleweke kuliko hawa waficha makuchaShida mnaangalia sana wavaa milegezo na hereni masikioni. Sisi wavaa mikanda kiunoni mnaturuka, nyota njema uonekana asubuhi.
mpuuzi huyo,,ila huyo sio mimi coz wapo wanaofanya ivo na wasiofanya ivo,,hatufanani na tunatofautiana matukio.Kuna mwenzio aliniambia hivyo baada ya kupata mtoto wa kwanza viapo tele, kwa sasa anao watatu na yule yule na bado anakula viapo kila leo.
Asante studio tuma salamu kwa watu watatu akiwemo yule.mpuuzi huyo,,ila huyo sio mimi coz wapo wanaofanya ivo na wasiofanya ivo,,hatufanani na tunatofautiana matukio.
mwambie huyo dada namsalimia sana,,na pole yake kwa kutaka watoto wawe na baba mmoja ilihali hana msaada,,, mxiuuuAsante studio tuma salamu kwa watu watatu akiwemo yule.
Kuchagua mwenza inahitaji kujua basic calculations juu ya aina za watu hawa {+, -, *, Γ·}. Principle ipo hivi according to Isaya 34:16,kuwa hakuna hata mtu mmoja atakayekosa mwenza wake. Sio kila mwanamke /mwanaume anaweza kuwa mkeo/mumeo. Mungu ni smart sana.Itabidi uwe mtulivu sana kwenye kuchagua mwenza.
Mxiuu eeh!! Na badomwambie huyo dada namsalimia sana,,na pole yake kwa kutaka watoto wawe na baba mmoja ilihali hana msaada,,, mxiuuu
Notigham Forest, NigerianYupo timu Gani!?
na bado nini,, sijawahi angalia nyuma mimi kamwe ππππndo nachojipendea yakheeeMxiuu eeh!! Na bado
Naomba nisikujibu inavyopaswa maana ndio utasema kabisa nakuchukia πna bado nini,, sijawahi angalia nyuma mimi kamwe ππππndo nachojipendea yakheee
ata sijali mimi that's why hua nacheka tuπ€£ njemba za jf ........au basi utasema nakudharauNaomba nisikujibu inavyopaswa maana ndio utasema kabisa nakuchukia π
Kule umekimbia.
We cheka tu ila umenichekesha sana msabato πata sijali mimi that's why hua nacheka tuπ€£ njemba za jf ........au basi utasema nakudharau
Mbona sijaona ngoj nkaangalie
Mi sio msabato bwan π KKKT narudia tena,,nmesuka,nmetoga maskio nk.......We cheka tu ila umenichekesha sana msabato π
Msabato wewe acha janja janjaMi sio msabato bwan π KKKT narudia tena,,nmesuka,nmetoga maskio nk.......
nakataa kwanguvu zoteMsabato wewe acha janja janja
Kataa ila itabaki kuwa hivyonakataa kwanguvu zote
mke wako kazi anayo ππΎ ukitaka umetaka ukiamua umeamua.Kataa ila itabaki kuwa hivyo
Mke yupi tena mbona sina.mke wako kazi anayo ππΎ ukitaka umetaka ukiamua umeamua.
mpenzi mtazamaji wakoMke yupi tena mbona sina.
Sinampenzi mtazamaji wako