Wanaume tafuteni hela no excuse
Maana hapa naona wanaume ambao uchumi wao haueleweki wanalazimisha maji yapande mlima. Hell no.
Mungu amewapa mamlaka ya kutawala Ila ili hayo mamlaka muyatimize kwa asilimia zote Moja ya sharti ni wewe kuwa breadwinner (sasa usilazimishe kuingia na mwanamke kwenye ndoa kama huna uwezo wa kumhudumia mahitaji yake).
Ndo maana mnapoteza nguvu ya mamlaka yenu ya asili kwa kutaka mhurumiwe na wanawake. No. Haki huambatana na wajibu.
Nipigeni mawe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.