kwa kuwa wadada hawalalamiki ndio unadhani wanakubaliana na kila mavazi wanaume wanayovaa au kutokuvaa? Ni kwamba tu wanaheshimu uhuru wenu kama wanavyotegemea wanaume mheshimu uhuru wao!Hakuna mazingira mwanaume anaweza vaa nguo Itakayoleta Usumbufu Kwa Mtu mwngine , epecially linapofika vazi la Mazoezi.
SIO DAR TU HATA HUKU MAKAO MAKUU IPO HIYO.NJIA PANDA YA WAJENZI - AREA "D"Jamani Darisalama kutamu..sasa na hii style imeanza lini?..da ngoja nizichange nirudi mjini walahi..yaani vituko ni bampa 2 bampa..
Good question! Ninaamini kile ukipatacho ni matunda ya uwazacho...Sijui kwanini wabongo wanawaza ngono tu
Mnasababisha ajali acheni upuuzi..! Kitumbua kimetuna kwenye track mpaka mtu unasahau njia na gari linaingia mtaroni.Wakaka mazoezi yao kando ya barabara ni sawa gym zinakua zimejaa??
Mkuu unatoka kule kwa Ayatollah nini?Hii sasa imegeuka kama Style Flani hivi kwa Sasa , na hii inafanyika Mikoa Mikubwa Especially Dsm and Arusha .
Kina Dada wamegeuza Sehemu hiyo kua Fursa ya Kufanya Ufuska wao mwengine.
Mtu unajiuliza Gym hakuna ? Basi kama Gym Gharama , Hakuna maeneo Special kwa Ajili ya Hayo Mazoezi ? .au labda Kukimbia Barabarani kunaongeza Ufanisi Wa mazoezi ?
Sasa Tazama nguo wanazovaa Vs Maumbilie yao , Tazama maeneo ya Barabara wanapofanyia hayo mazoezi, Tazama na Muda pia.. kisha Jumlisha, unipe Jibu.
Mm Hesabu zangu zimeniletea Majibu Mazuri , "mazoezi barabarani ni njia ya Kina Dada kujipatia Wanaume. (Huwenda Sio wote)
Haileti usumbufu kwako sababu wewe sio mwanamke au shoga...Hakuna mazingira mwanaume anaweza vaa nguo Itakayoleta Usumbufu Kwa Mtu mwngine , epecially linapofika vazi la Mazoezi.
Na ukiona huwatamani ...ujue tayari umeshaathirika kisaikolojiaKama umeshazoea kutembelea swimming pool, hakuna mavazi ya mwanadada yatakayokusumbua tena!
Mimi nakuunga mkono kwa 100% kuna maeneo ya baharini ambayo ni mazuri kwa mazoezi lakini utayaona ni madada yakionyesha hata sehemu za chupi zao kwa Juu ati wako mazoezini. Wengi utembea umbali Fulani kisha ugeuza na kurudi ofisini ati ili kuchukua lifti ya kumrudisha nyumbani. Kiukweli huu ni zaidi ya Ufuska mtupuHii sasa imegeuka kama Style Flani hivi kwa Sasa , na hii inafanyika Mikoa Mikubwa Especially Dsm and Arusha .
Kina Dada wamegeuza Sehemu hiyo kua Fursa ya Kufanya Ufuska wao mwengine.
Mtu unajiuliza Gym hakuna ? Basi kama Gym Gharama , Hakuna maeneo Special kwa Ajili ya Hayo Mazoezi ? .au labda Kukimbia Barabarani kunaongeza Ufanisi Wa mazoezi ?
Sasa Tazama nguo wanazovaa Vs Maumbilie yao , Tazama maeneo ya Barabara wanapofanyia hayo mazoezi, Tazama na Muda pia.. kisha Jumlisha, unipe Jibu.
Mm Hesabu zangu zimeniletea Majibu Mazuri , "mazoezi barabarani ni njia ya Kina Dada kujipatia Wanaume. (Huwenda Sio wote)
Kweli? Hamnaaa.. Mule mnaonana kama kaka na dada...Na ukiona huwatamani ...ujue tayari umeshaathirika kisaikolojia
Mnasababisha ajali acheni upuuzi..! Kitumbua kimetuna kwenye track mpaka mtu unasahau njia na gari linaingia mtaroni.
Mpumbavu wewe usiyejua nguvu kitumbua kwa mwanaume...![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Pumbavuwee! Uhayawani uliobeba kichwani kwako ndio unaosababisha uache njia uingie mtaroni
Huko kwenu wanaokimbia pembeni ya barabara ni wanawake peke yao? Huku kwetu wanakimbia wote wanaume na wanawake. Sasa sijui na hao wanaume wanafanya ufuska??Hii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?
Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.
Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)
Siwezi kufanya Mazoezi barabarani, gym zipo viwanja vipo..... Mwisho niangukiwe na kontena kisa?Kwan we hufanyag Mazoezi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sawa Mkuu Wanawake wanaweza bhana alaaaa...Siwezi kufanya Mazoezi barabarani, gym zipo viwanja vipo..... Mwisho niangukiwe na kontena kisa?