Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Usijitoe bwana.Asee huyu binti mie najitoa kwa muda ,nakuachia mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijitoe bwana.Asee huyu binti mie najitoa kwa muda ,nakuachia mzee
Usibebe simu wala kamera chumbani ndio nitakuja.
Aibu iliyompaka mzee mwenzangu le human being siitaki
Acha bit [emoji23][emoji23]Utauza shamba shauri yako.
Ukiona kina ni kirefu niachie mambo yangu.
Au hujui kuwa january huwa haiishagi
Tatizo wivu halafu roho inauma,Tanga maji yanawekwa viungo vya pilau,hatari hao, Kibamia kinasingwa kinatutumka hicho hadi kinacheuaAaa sitamuweza mwenyewe.
Wewe mambo ya Tanga unayajua vizuri?
Shekhe kizuri tunakula wote shehe usi give up
Hapo umeongea sasaShamba nampa bureeee ,yy tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tatizo wivu halafu roho inauma,Tanga maji yanawekwa viungo vya pilau,hatari hao, Kibamia kinasingwa kinatutumka hicho hadi kinacheua
Hahahaha, we hunitakiHapo umeongea sasa
Ha ha ha. Mzee wa watu akaathirika liveHahahahahahahahaaaaaaa
Le human being Mobimba
Homga shamba baba uone.Hahahaha, we hunitaki
Hujanishawishi sasa.Hahahaha, we hunitaki
MmmhHujanishawishi sasa.
Huyu kaishazoea kuhongwa kiupe usikute,Homga shamba baba uone.
Mimi nitamjenge nyumba kwenye hilo shamba.
Ye ndo alikua boy
Hujaeleweka kwa sie washambaHuyu sio yule dada wa taifa alikua anamrusha sana kwenye acc yake ya insta?
That's my bebHomga shamba baba uone.
Mimi nitamjenge nyumba kwenye hilo shamba.
Hahongwagi huyo.Huyu kaishazoea kuhongwa kiupe usikute,
Nikushawishi vipi sasa kwa mfano ?Hujanishawishi sasa.
Hio mada umeikuta kati kati babaHujaeleweka kwa sie washamba
Wewe kweli mgeni! lesbian anatumika na boys?Weee!!! kwan pale palikuwa na boyz zama hizo
Mkuu nakubali ila mzigua amechanganya madesa maana niliomba msaada akajibu hivyo.Hio mada umeikuta kati kati baba