Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha ,km ni kumlinda Nina kampuni ya ulinzi ,itamlinda hyHahongwagi huyo.
Ni mtu makini sana.
Hapo humuhongi unamlinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha ,km ni kumlinda Nina kampuni ya ulinzi ,itamlinda hyHahongwagi huyo.
Ni mtu makini sana.
Hapo humuhongi unamlinda
Ha ha ha .Hahahaha ,km ni kumlinda Nina kampuni ya ulinzi ,itamlinda hy
MangeHujaeleweka kwa sie washamba
Babe wako si Inna wewe??Wewe mzee wa chura mwache bebi wangu.
Katafute vyura kwenye majukwaa mengine
kwahiyo aliyeleta ombi la kuelekezwa wapi anaweza kupata hizo bidhaa ni MCHAFU au!?Huko wataenda wasafi
My lovely shem.Ha ha ha ha. Aende Cassandra lingerie atapata..akishindwa aende kariakoo tu.
Huko kuna chupi za maana sana? Nataka chupi za celvin clain za kike. Nafarijika sana nikimuona mwanamke amevaa hizo chupi. Je kariakoo pia naweza kuzipata?Ha ha ha ha. Aende Cassandra lingerie atapata..akishindwa aende kariakoo tu.
Za kwake mwenyeweBlaza unataka chupi za kike za nini?
Hizo Kariakoo unaweza kupata ila CALVIN KLEIN (CK) huwezi kupata.Huko kuna chupi za maana sana? Nataka chupi za celvin clain za kike. Nafarijika sana nikimuona mwanamke amevaa hizo chupi. Je kariakoo pia naweza kuzipata?
Hahahaha.Hizo Kariakoo unaweza kupata ila CALVIN KLEIN (CK) huwezi kupata.
Wacha weeeHa ha ha ha. Aende Cassandra lingerie atapata..akishindwa aende kariakoo tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wacha weee
Mnajua kufuli zinapopatikana lakini mara nyingi hamfungi hizo kufuli
Ahsante ngoja nijichange hapa nikamchukulie naniliuu zawadi
Kuna kinachokosekana k.koo?? Labda roho ya mtu na mapafu yake..Huko kuna chupi za maana sana? Nataka chupi za celvin clain za kike. Nafarijika sana nikimuona mwanamke amevaa hizo chupi. Je kariakoo pia naweza kuzipata?
Missing you shemelaMy lovely shem.
Nimekumiss hatari
Hapana mimi kazi yangu kubwa na jukumu ni kuzivua zile chupiNa wewe umnunulie msaidiane majukumu na mwenzio
[emoji16][emoji16]Hapana mimi kazi yangu kubwa na jukumu ni kuzivua zile chupi
Exactly halafu huwa sitaki kabisa yeye aiguse mimi ndo huwa naondoa mwanzo mwisho[emoji16][emoji16]
Chupi moja waweza ambiwa 10k, visit page yao Facebook uoneNa bei zipoje?