Kina Dada sometimez tunajitakia matatizo hii mnaionaje ?

Kina Dada sometimez tunajitakia matatizo hii mnaionaje ?

eeh hivi who benefits more kwenye marriage? mie naoana ni wanaume....wao ndio wafuliwe nguo wapikiwe uwazalie watoto, uwalee watoo... etc;;;and what women gets out of marriage? they got to do all that work (dammit).. lakni kwanini sasa wanaume ndio wawe wanalazimishwa kuoa? it should be Vice Versa... Mie mpaka nimjaribu hasa mwanaume ndio niolewe..nimuona kama he really worth my while... and if he already values me and sees me for the woman that I am.”....

nakukubali sana na post zako za ukweli....... sipo kwenye mahusiano ila namuhurumia huyo atakaejipendekeza kwangu inabidi ajipange haswa kuuteka moyo wangu
 
Umenikumbusha kipindi nilipoiba divai madhabahuni nikaenda kuigida kwenye chumba cha kuungamia. Nililiwa nikalala humohumo mpaka nikakamatwa. Hatimaye nikapigwa ban la kutumikia kanisani maisha yangu yote. Hizi pombe nilianzia utotoni ndio maana nashindwa kuziacha lol!
hahaaaaaa jamani Iribini kumbe ulilaaniwa na padri basi sio bure lol!!!!!!!!!!!

kale kachumba mi nakaogopaga sana yaani wewe ukaingia na kulala mule duh!!??
 
heee nimeenda kurekebisha kichwa kidogo na ka- Tusker baridi ....kwani topic inahusiana na nini tena?

Kaizer
Teamo
Bht -bestlady
Askofu
Bigirita
:grouphug:
 
hahaaaaaa jamani Iribini kumbe ulilaaniwa na padri basi sio bure lol!!!!!!!!!!!

kale kachumba mi nakaogopaga sana yaani wewe ukaingia na kulala mule duh!!??

Haya mapombe mamushka we acha tu. Nisingestukiwa kama si mama mmoja alikuja kuungama akanikuta nakoroma ndani. Imagine niko darasa la nne nikakata karibu nusu chupa ya damu ya Yesu!
 
heee nimeenda kurekebisha kichwa kidogo na ka- Tusker baridi ....kwani topic inahusiana na nini tena?

Kaizer
Teamo
Bht -bestlady
Askofu
Bigirita
:grouphug:

afu na wewe best mambo gani ya kushtua mchana wote huu jamani?? umejiovadozi na kazi?? haziishi hiz fanya tu kwa afya mamii!!

Haya mapombe mamushka we acha tu. Nisingestukiwa kama si mama mmoja alikuja kuungama akanikuta nakoroma ndani. Imagine niko darasa la nne nikakata karibu nusu chupa ya damu ya Yesu!

mai mai....ungesikiliza zambi za mwenzako wewe ujue???
 
hee ndipo mlikofikia? cjui divai, mvinyo na kitu gani.
 
heee nimeenda kurekebisha kichwa kidogo na ka- Tusker baridi ....kwani topic inahusiana na nini tena?

Kaizer
Teamo
Bht -bestlady
Askofu
Bigirita
:grouphug:

Nalazimika kuondoka hapa sababu ya posti hii. Kwaherini wapendwa. Niliwapenda sana lakini bia imenipenda zaidi. Kama mtanimisi mumlaumu FL1 kwa kuniletea vishawishi na jua kali namna hii.........
 
Nalazimika kuondoka hapa sababu ya posti hii. Kwaherini wapendwa. Niliwapenda sana lakini bia imenipenda zaidi. Kama mtanimisi mumlaumu FL1 kwa kuniletea vishawishi na jua kali namna hii.........
HA HA HA AH AHAHAHAHA!
nimecheka mpaka mbavu zinauma

eee bwana kuna sredi ya kumtafuta FMES jamaa wanaulizia Geoff KAENDA WAPI?/YAANI WANAULIZA ETI NIMEFILIA WAPI?
 
heee nimeenda kurekebisha kichwa kidogo na ka- Tusker baridi ....kwani topic inahusiana na nini tena?

Kaizer
Teamo
Bht -bestlady
Askofu
Bigirita
:grouphug:

Haya mapombe mamushka we acha tu. Nisingestukiwa kama si mama mmoja alikuja kuungama akanikuta nakoroma ndani. Imagine niko darasa la nne nikakata karibu nusu chupa ya damu ya Yesu!

Nalazimika kuondoka hapa sababu ya posti hii. Kwaherini wapendwa. Niliwapenda sana lakini bia imenipenda zaidi. Kama mtanimisi mumlaumu FL1 kwa kuniletea vishawishi na jua kali namna hii.........

hitimisha basi....tunakimbilia ulinzi wako mzazi mtakatifu wa Mungu, usitunyime tuikomba ktk shida zetu bali utuepushe kila tuingiapo vishawishini.........(kama wewe ulivoingia Iribini)
 
HA HA HA AH AHAHAHAHA!
nimecheka mpaka mbavu zinauma

eee bwana kuna sredi ya kumtafuta FMES jamaa wanaulizia Geoff KAENDA WAPI?/YAANI WANAULIZA ETI NIMEFILIA WAPI?
kumbe wee ni huyu??

umefilia?? msamiati ni mpya huo?
 
hitimisha basi....tunakimbilia ulinzi wako mzazi mtakatifu wa Mungu, usitunyime tuikomba ktk shida zetu bali utuepushe kila tuingiapo vishawishini.........
..........EE BIKIRA MTUKUFU NA MWENYE BARAKA

BIKIRA MARIA MAMA WA NEEMA NA MKINGIWA DHAMBI YA ASILI.............!UTUOKOE SISI WENYE KUKIMBILIA KWAKO

TUOMBEEEEEE..._(askofu tafadhali...)
 
kumbe wee ni huyu??

umefilia?? msamiati ni mpya huo?
mi sijasema mama!
HERI MIMI SIJASEMA,NA HERI MIMI SIJATUSI:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
eee bwana kuna sredi ya kumtafuta FMES jamaa wanaulizia Geoff KAENDA WAPI?/YAANI WANAULIZA ETI NIMEFILIA WAPI?[/COLOR]

Kumbeeeeeeeeee.... Hujambo Geoff (I hope this is not name calling)
 
..........EE BIKIRA MTUKUFU NA MWENYE BARAKA

BIKIRA MARIA MAMA WA NEEMA NA MKINGIWA DHAMBI YA ASILI.............!UTUOKOE SISI WENYE KUKIMBILIA KWAKO

TUOMBEEEEEE..._(askofu tafadhali...)

hahaaaa Teamo.....nafwa mie lol!!!!! umenikumbusha mbali saaaaaaaaaana

babu yangu mmoja akisinzia kwenye sala mazee inafutwa mnaanza upya hata kama mlikuwa mmaliza rozari mkafika hiyo..'tunakimbilia'....the whole thing becomes void ab initio
 
Let her grow from that lesson, lkn siyo mwisho wa dunia. He ain't worth it losing ur life... I have seen bad things happen to good girls but they keep on moving and are success stories.
 
...nawalaumu wote wawili.

Namlaumu mkaka kwa kutomuweka wazi mpenzi wake, na huyo mdada kwa kujichukulia maamuzi ya papara!
Wanaume wengine sijui tukoje. Ushaona umemuweka mtegoni binti, ya nini danadana nyiiingi?.. wengine wanapata hisia unamtumia kisha uoe mwingine.

Ingekuwa wewe Mwanaume unamtaka Mw'mke kwa udi na uvumba, mbio ungekimbilia kwa Wakwe!... na hizi tamaduni, mila na desturi zetu za kiafrika.... unajua ukishambandika Mimba tu, au dau kubwa...binti hana pa kutokea...
 
Back
Top Bottom