Kina dada tupunguze maamuzi yasio ya muhimu kwa kaka zetu waingiapo kwenye ndoa zao

Kina dada tupunguze maamuzi yasio ya muhimu kwa kaka zetu waingiapo kwenye ndoa zao

Nilisikia kibaolojia kaka huwa na wivu kwa dada yake n virceversa(sina hakika) ila nahisi ni kweli kwa kuangalia tu mambo ambayo huwa yanatokea baina ya mawifi, la msingi ni mwanaume kuwa mwanaume na kuchukua nafasi yake kuweka mipaka baina yake na dada zake just in a good way.
Yaani sisi wanawake sijui tuna shida gani ila ndivyo tulivyo, hatupendani kabisaaaaa hata kama sio wifi yako basi itakuwa ofisini n.k
 
Huyo ni wifi au Mke mwenza? Siwezi kumruhusu dada yangu anizoee kiasi hicho, matumizi anipangie, mezani anilishe heh! Uzungu utakuwa umenishinda aisee.
Ila wakati mwingine, sisi wanaume ndio chanzo, kwa sababu mpaka dada kuingilia mambo yako ya ndani ni dalili kuwa kakuona zuzu kwa kiasi fulani na anajaribu kukuongoza.

Exactly!!! Inakuwaje mtu kutoka nje ya nyumba yenu ndio awapangie mambo yenu kama sio wewe ndio umeruhusu huo uduwanzi?!! Daah mwanaume wa hivyo hapana kwakweli.
 
Natamani akina fulani wangekuwa member humu wakasoma ujumbe huu.

Sio mbaya kaka yao atafikisha ujumbe, naomba Mungu leo uuone huu uzi.

Ha ha ha nipe majina niwatag wifi zako, waache ulofa....pole
 
Nilisikia kibaolojia kaka huwa na wivu kwa dada yake n virceversa(sina hakika) ila nahisi ni kweli kwa kuangalia tu mambo ambayo huwa yanatokea baina ya mawifi, la msingi ni mwanaume kuwa mwanaume na kuchukua nafasi yake kuweka mipaka baina yake na dada zake just in a good way.
Yaani sisi wanawake sijui tuna shida gani ila ndivyo tulivyo, hatupendani kabisaaaaa hata kama sio wifi yako basi itakuwa ofisini n.k
Kama kuna ukweli kuhusu huo wivu sidhani kama ni sababu za kibiologia, lazma ni ya kisaikolojia tena iliosababishwa na malezi plus ujinga kidogo....ndio maana baadhi ya mawifi wanakuaga na wivu utasema ni mtu na mke mwenzie, binafsi sina hiyo kitu kabisaa, wifi angu (mke wa kaka) nampenda, ninamheshimu na nathamini sana uwepo wake.
kama nlivosema kuna upendo wa ndugu, siku moja nliona tishrt flani hivi za chama na najua bro anazipenda what I did niliwapelekea wote na mkewe (mipaka ya upendo)
 
Mwanamme ukiendekeza ujinga hata watoto wadogo watakudharau. There has to be a clear line separating family and marriage worlds and a man is to enforce it and the rest shud respect it.
 
Hahahahaha!!! Watatembea na gagulo hadi ubungo mataa, wanamidomo kama chuchunge.

Atapita kaka yao atasoma tu,
Ha ha ha I see you utakua muathirika wa tabia za mawifi, waweza epuka haya kwa kuweka distance kati yenu kusiwe na yale mazoea saaaana kama wao ni watu sio tegemezi, namaanisha kama wana maisha yao tayari basi kila mtu awe bize na business zake
 
Ha ha ha I see you utakua muathirika wa tabia za mawifi, waweza epuka haya kwa kuweka distance kati yenu kusiwe na yale mazoea saaaana kama wao ni watu sio tegemezi, namaanisha kama wana maisha yao tayari basi kila mtu awe bize na business zake

Hujui mawifi wasumbufu mara nyingi ni wale tegemezi na walioachika kwenye ndoa au Hawajawahi kuolewa. Hahahahahaha!!!

Watu asubuh 12 unawakuta mlangoni. Sina ham nao hawa watu aisee!!
 
Namsubiri kwa hamu Wifi atakayetaka kufanya maamuzi yanayohusu familia yangu.
 
Namsubiri kwa hamu Wifi atakayetaka kufanya maamuzi yanayohusu familia yangu.
Kama mmeo hajaendekeza huo ulofa unadhani wifi ataanza tu?
Teh jiandae, na mme atakujibu yule ni dada ake
 
Kama kuna ukweli kuhusu huo wivu sidhani kama ni sababu za kibiologia, lazma ni ya kisaikolojia tena iliosababishwa na malezi plus ujinga kidogo....ndio maana baadhi ya mawifi wanakuaga na wivu utasema ni mtu na mke mwenzie, binafsi sina hiyo kitu kabisaa, wifi angu (mke wa kaka) nampenda, ninamheshimu na nathamini sana uwepo wake.
kama nlivosema kuna upendo wa ndugu, siku moja nliona tishrt flani hivi za chama na najua bro anazipenda what I did niliwapelekea wote na mkewe (mipaka ya upendo)

Yaani hizi shida za mawifi sijui mwisho wake, wajuvi wa saikolojia wanaweza wakatujuza zaidi, ila ni jukumu la mwanaume kuchukua nafasi ya kutenga mambo ya familia yao na ya nyumbani kwake, kila kimoja kiwe na nafasi yake na sio kuingiliana kwa kiasi hicho.
 
Back
Top Bottom