Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nakuona tatty ndo wifio, yale mahaba ulionayo kwa kaka ako mbona wifi atajuta kukufahamu
Kuna bidada mmoja ana hii type ya mawifi, akinisimuliaga anakua na uchungu hadi ataka kulia ha ha haHujui mawifi wasumbufu mara nyingi ni wale tegemezi na walioachika kwenye ndoa au Hawajawahi kuolewa. Hahahahahaha!!!
Watu asubuh 12 unawakuta mlangoni. Sina ham nao hawa watu aisee!!
Hahahaaa....unajua kuna watu wamekariri na pindi wanapoingia ndoani wanatoka wamejiandaa kabisa kupambana...muombe Mungu upate familia nzuri sio unavaa gloves kabisa
unaanzaje kuingilia ndoa yangu kama wifi?? sahau kabisa maana ukijaribu siku ya 1 tu sikufumbii macho
Ndio hadi mwanaume awe na hiyo akili ya kutenganisha familia na ndoaYaani hizi shida za mawifi sijui mwisho wake, wajuvi wa saikolojia wanaweza wakatujuza zaidi, ila ni jukumu la mwanaume kuchukua nafasi ya kutenga mambo ya familia yao na ya nyumbani kwake, kila kimoja kiwe na nafasi yake na sio kuingiliana kwa kiasi hicho.
Hujui mawifi wasumbufu mara nyingi ni wale tegemezi na walioachika kwenye ndoa au Hawajawahi kuolewa. Hahahahahaha!!!
Watu asubuh 12 unawakuta mlangoni. Sina ham nao hawa watu aisee!!
Natamani akina fulani wangekuwa member humu wakasoma ujumbe huu.
Sio mbaya kaka yao atafikisha ujumbe, naomba Mungu leo uuone huu uzi.
Kuna bidada mmoja ana hii type ya mawifi, akinisimuliaga anakua na uchungu hadi ataka kulia ha ha ha
huyo wifi ni mkubwa tu wa kutosha, ana miaka 30 ila kwa kua ni last born basi anajiona kama yupo la tatu B hadi hela ya kyupi anategemea kwa kaka mazafanta kabisa!!!
kuna kipindi akaja kuishi kwa bro wake (hapo wana chumba tu kimoja na sitting room) ila ana dada ambae anaishi mwenyewe, sasa sijui kwanini hakwenda kuishi kwa dada ake akaja kubanana kwa kaka mwenye chumba kimoja
humo ndani utadhani kuna wake wawili
Ha ha ha bana eeeh ndo maana refa anaingiaga uwanjani na kadi nyekundu, kwa anatakaga watu wachezeane rafu? Teh
Ndio hadi mwanaume awe na hiyo akili ya kutenganisha familia na ndoa
la sivo utaonekana mke una roho mbaya, una gubu, hupendi ndugu wa mme na kila kesi itakuandama
Kuna bidada mmoja ana hii type ya mawifi, akinisimuliaga anakua na uchungu hadi ataka kulia ha ha ha
huyo wifi ni mkubwa tu wa kutosha, ana miaka 30 ila kwa kua ni last born basi anajiona kama yupo la tatu B hadi hela ya kyupi anategemea kwa kaka mazafanta kabisa!!!
kuna kipindi akaja kuishi kwa bro wake (hapo wana chumba tu kimoja na sitting room) ila ana dada ambae anaishi mwenyewe, sasa sijui kwanini hakwenda kuishi kwa dada ake akaja kubanana kwa kaka mwenye chumba kimoja
humo ndani utadhani kuna wake wawili
Neno kabisa, namjua mmoja bwana mama ni msumbufu kwa mawifi zake kinomaaaa, sasa kahamishia familia yake kwa kaka yake na toto lake kubwa limemaliza chuo wote wanakaa hapo kwa kaka. Basi wifi wa japo home hafurukuti, wifi mwenyewe mzeee, wakati mke ni binti mdogo tu.
Hehehehe hata mimi natamani hivohivo
Mtu mzima na akili zake hana ulemavu wa mwili, labda kama kichwani kwake kuna nati zimelegeaWallah siwez kubali ataondoka kama alivyokuja 30yrs bado unategemea vya kaka hadi ch*pi hapana kwa kweli labda awe mlemavu
Hahaa ndo maana na mimi napenda wewe uwe wifi yangu:A S 41:
Inatokeaga mara nyingi tu, unaamua kupotezea tuHahaa ndio maana yule mwanamke alikuwa ananitolea mijicho balaa....ila mi sinaga taimu na mtu
Alafu ukute huyo mwanaume anawatetea ndugu zake sasa!! Yaani kuna wanaume wanakera jamani utadhani walipewa tu hiyo jinsia ya kiume!!