BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Upande wa pili ni udhaifu wa mume.
Yaani watu wazima dada yako anaingia chumbani kwako??? Mnalishana chakula? Hapana aisee hapo kuna la ziada.
Ila kuna wanaume akili zao sijui wamezikalia. Hata akipanga mipango na mkewe lazima ikapitishwe na dada yake au wazazi wake.....
Ukiwa na mwanaume wa hivi ni sheeeeeeedeeeeeeeeeeer heri utafute hela zako ufanye yako.
Yaani watu wazima dada yako anaingia chumbani kwako??? Mnalishana chakula? Hapana aisee hapo kuna la ziada.
Ila kuna wanaume akili zao sijui wamezikalia. Hata akipanga mipango na mkewe lazima ikapitishwe na dada yake au wazazi wake.....
Ukiwa na mwanaume wa hivi ni sheeeeeeedeeeeeeeeeeer heri utafute hela zako ufanye yako.