Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Hili ndio tatizo lenu mpaka wengine tunaogopa kuja PM sababu kila kitu mnatania tania tu.
hahahha we badala ya kunipa pole unaanza visasi km MAGUFULI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ndio tatizo lenu mpaka wengine tunaogopa kuja PM sababu kila kitu mnatania tania tu.
Sasa huwa unachukua hatua gani ?Hata ukimstua atakachokuja kumalizia kinaeleweka basi....
Atakua ndo mwenyewe aisee.Niko poa kabiisa, Hahaha Tucheke tuu Maisha ya Humu ni Yetu
nipo maeneo hapa naona mitikiso ya mtu kama mdogo wako ivi
Sio visasi,tatizo naumia na ninakosa vitu vizuri.hahahha we badala ya kunipa pole unaanza visasi km MAGUFULI
Naachana nae.Sasa huwa unachukua hatua gani ?
Nitakutumia salamu kisha nauli ukuje huku mjini kama dada yako superstar
POLESio visasi,tatizo naumia na ninakosa vitu vizuri.
Salamu tu chalii unless uwe na uhakika mnaweza fanya na mambo MengineSalamu tu yatosha
Kuna nini tena ? Ila wewe nakutafuta sana hujui tu.
Haijapoa,ila najua nitajipoza vipi.POLE
Au nimekosea nilivyomjibu Manga[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji17][emoji17][emoji17]Sawa mkuu... nilijua unataka nami nije nifute macho
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Shikamoo bro cole
We nawe wataka anzisha balaa hapa.Halafu ukiona nikiona comment namkumbuka Mtambuzi
Hahahaha kweli kabisaHahaha... hawa member wapya hawajui historia yetu... kwa hiyo akiona nimekutania anajua nakutukana