Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jitoe fahamuNitajitahidi saana na kuuremba mwandiko..
Ila hao wanao wafanyia unyama wanatuharibia sana sisi waungwana na wenye nia njema sio ?Wa kuongea.
Unajimaliza weeeeeee
Labda mmoja wapo arekodi.
Ila Pm Shunie, hata kama namjua mtu HAPANA.
Bora nipige umbea na mwanaume japo wako akina kaka-dada.
Ila nilijifunza sana kutokana na lile tukio
Yaani mimi baada ya kusoma maoni kadhaa humu,yaani nikija nimejipanga nakupa rambi rambi na ziada bwerere.
hahahah kivuko cha mv nyerere kimeondoka na rafiki....ukija unipe rambirambi ila sio ya maneno(jokes)
Naona anakutetea
Duuh, halafu ndio nilikuwa napanga kuja kukuambia hivyo.labda mngewauliza wale wanaume ambao wamewawin wadada huwa wanafanyaje...maana muda km huu anakuja mtu pm anakuambia niambie!uambiwe nn sasa!!!!!
HahahaIla hao wanao wafanyia unyama wanatuharibia sana sisi waungwana na wenye nia njema sio ?
Kuna nini tena ? Ila wewe nakutafuta sana hujui tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shikamoo bro coleUmenifurahisha sana binafsi naona bora nisalimie tu sababu nikiongezea mengine hatuwezi kukutana ya nini yote hayo
Salamu tu
Yaani mimi baada ya kusoma maoni kadhaa humu,yaani nikija nimejipanga nakupa rambi rambi na ziada bwerere.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sijui
Ukiona kimya si unamstua tu kwamba ameacha kiporo aje amalizie.Hahaha
Afu kuna wale unachat nae weeee....anaishia katikati.
Jukwaani yuko online, ila Pm kwako kaishia kati
Wewe ( @K ) inakuhusu....
Duuh, halafu ndio nilikuwa napanga kuja kukuambia hivyo.
Hili ndio tatizo lenu mpaka wengine tunaogopa kuja PM sababu kila kitu mnatania tania tu.natania...nimechoka akili leobalaa...sijafika home
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata ukimstua atakachokuja kumalizia kinaeleweka basi....Ukiona kimya si unamstua tu kwamba ameacha kiporo aje amalizie.