Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Kina dada wa JF tumechoka malalamiko yenu, tunaomba ufafanuzi wa hii hoja

Hahaha
Afu kuna wale unachat nae weeee....anaishia katikati.
Jukwaani yuko online, ila Pm kwako kaishia kati
Wewe ( @K ) inakuhusu....
Ukiona kimya si unamstua tu kwamba ameacha kiporo aje amalizie.
 
Back
Top Bottom