Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eeeeehahahahaah nilikumiss kha!hapana kwakweli...mm napenda wale wa kusalimia asbh sana,,,mchana atakuchek tena,,sasa hapo unakuta kasalio kamesoma...tena unaambiwa pls manengelo nenda kula..its time nw.... sijamanisha siku zote..lakn anatia moyo🙂🙂🙂🙂🙂!
kesho yake mtachat tena kidogo atakuambia kale mishikaki umeniambia unapenda sana nyama..kale unywe na wine uwah kurudi hm...hv mtu kama huyu unamchukiaje!
mm sipohapa kuhamasisha ujinga!ila tambueni waanwake tunapenda kujaliwa hisia jamani(hasa mm😉)
wengne kuuutwa mbwembwe...ohh nimewah kuja huko nikalala hotel fulan maarufu!mxiiiiiiiiiiiiiiiiiiieeeeeeeeeeew sasa nikubebe????
SijuiHivi mnaposema "Mwanamke anataka attention yako" huwa mna maanisha nini ?
Mkuu kulikoni![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Alaa ! Nikianza kuingia PM naomba nianze kwako.
we unakichwa tu kwani huna kiwiliwili
He he jichekee tu mpenzi mambo ya humu[emoji3] [emoji3] [emoji3] nimecheka kwa sauti
Naunga mkono hojaMkuu, Jf ya leo imekosa maadili na adabu kama siku zile za kitambo.
Humu jf pamekua na utoto na upuuzi wa vijana kuwatweza wadada na hata kufikia hatua ya kuwavua utu wao.
Wadada wengi wamekua waoga, na hawatuamini tena wanaume wa humu jf kwasababu tumekua tukiwatangaza mara tu wa kisha tukubali ama kutupatia mawasiliano yao.
Ebu kwa leo naomba niishie hapa...
Asa kichwa cha habari na maelezo yaendaneNitaanza soon.
Sasa nikija kukubembelezea msamaha si ndio nimekuja sasa.looh!wala usje...labda uje unisaidie kunibembelezea msamaha🙂
Hahahaa aisee hao hata mimi Nanyanyua MikonoWangine wameenda mbali zaidi wanataka waombwe radhi kwa tukio la kuzama kwa kivuko cha MV Nyerere.
Poa.Sijui
Ilikuja ikaisha.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbele ya ushahidi sasa hajakuuliza huyo mtu unayechangia nae kanijuaje nimecheka sana
Acha kumsingizia shunie.hana utotoutoto.mtu mkubwa huyo.
Kwakweli acha tu nicheke maana yanafurahishaHe he jichekee tu mpenzi mambo ya humu
Umenifurahisha sana binafsi naona bora nisalimie tu sababu nikiongezea mengine hatuwezi kukutana ya nini yote hayoMkuu kulikoni!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unawazaga vyura tu mda woteInasikitisha sana,mfano mimi hadi leo sijapata chura![emoji17][emoji17][emoji17]
Nia salamu.
sasa hawazitaki salamu kwanini hawazitaki ndilo swali.